Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Vyombo vya habari vya Israeli:

🇱🇧🇮🇱 Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa na wanajeshi na maafisa waliokufa na waliojeruhiwa katika mapigano makali ya leo kusini mwa Lebanon.

Baada ya kushindwa kwa vikosi vya ardhini, jeshi la anga la Israel sasa linashambulia Aita al-Shaab na mji wa Quozeh.
=========================

View: https://x.com/currentreport1/status/1846587528381608229?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Unateseka sana, umebaki kuwa kada mwaminifu wa magaidi huku ukijifariji na viuzi vya kizushi🤣
 
Unaambiwa hadi sasa wanaokufa ni mazayuni peke yao.mungu bariki hezbullah
 
Hahaha Wasilamu mnatandikwa vibaya mno!

Gaza imegeuka kuwa kaburi la halaiki.

Soon Lebanon itakuwa hivyo.
⚡️Hebrew Media:

🇮🇱🇱🇧 A large number of Israeli military helicopters have landed at various hospitals a short while ago due to heavy clashes taking place in the northern border.

The clashes are still ongoing in 3 areas in southern Lebanon.
😂
 
Vita vya ardhini mtakwisha
 
⚡️Channel 13:

🇱🇧🇮🇱 44 Israeli soldiers evacuated to Rambam Hospital in Haifa and 5 to Benelson Hospital after a large force was attacked during clashes in southern Lebanon.
Teh teh teheeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…