Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Hapa bado unatudanganya.
Israel imeonesha failure katika suala la kupigana na Hamas na kuokoa mateka.
Hivi vita peke yake vimesababisha walemavu wapatao elfu 70 katika jeshi la Israel.
Na ripoti nakuletea.
Safari hii Hamas walionesha umahiri kiasi Netanyahu aliishutumu Iran moja kwa moja kuwa imepenyeza wanajeshi wake Gaza.
*Mateka hawajapata.
*Miundombinu ya mahandaki iko vile vile.
*Hamas hawajawamaliza.
Hakuna walichofanikiwa na wameua askari wao wengi sana na kupata walemavu wa kutosha tu.
Hakuna anyekudanganya unaposema Israel imeonyesha Failure katika kupigana na Hamas sijui unamaanisha nini na kivipi maana ume Generalize tu bila kutoa details zozote ku support tuhuma zako zisizo na kichwa na miguu!! Unaongelea kuhusu Mateka bila ushahidi wowote na maelezo ya Zaida. Toka Oct 07,2023 Magaidi wa Hamas waliteka watu 251 baada ya mapigano kufikia leo mateka walio kwenye mikono ya Magaidi wa Hamas wako 101 wengine Waliokolewa na wengine waliachiliwa kwa kubadirishana na wafungwa wa ki Palestina hayo wewe huwezi kuona kama ni mafanikio makubwa unachukulia tu juu kwa juu kuwa mateka hawajawapata wakati karibu musu ya mateka wote wamekombolewa. Kuhusu Mahandaki nakushangaa sana mengi ya mahandaki hayo yalishagundulika na kuharibiwa kabisa. Kuhusu Hamas kumalizwa wewe unataka wamalizwe vipi? Unadai pia kuwa Hamas wameua askari wengi wa Israel ni wangapi? Hakuna Idadi? Unasema pia kuwa hakuna walichofanikiwa!! Huko ni kutokujua tu kwako. Nakutajia tu mafanikio Israel iliyopata huko Gaza. Kwanza kuishikilia Gaza na kuifanya isiwe tishio tena kwa Israel maana hiyo Hamas hawatatawala tena Gaza. Pili kuwatia adabu viongozi wote wa Hamas wakiwemo Ismail Hanniye na Bwana wake Yahya Sinwar. Tatu kuwajua UNRWA ni tawi la Hamas sasa juhudi zinafanyika kutafuta mbadala wa shirika hilo na sasa shirika hilo tunakoenda halitaruhusiwa kufanya kazi Gaza hata na huko West Bank. Hayo ni mafanikio machache sana niliyokuwekea lakini yako mengi sana.
 
Kijeshi 0 kabisa - the fact IDF armed forces inaondoma na viongozi as if its nothing hiyo ni major flaw, they are weak, intelligence 0 - ingekuwa strong viongoz wao wangekuwa hai leo hii, technochlogia bado sana, mpaka wajipate na mzayuni atakuwa mbali sana, hatosubiria
Kiuchimu hakuna walicho gain ambacho kina mchango wowote, wanategemea misaada kuendesha operesheni zao

Honestly IDF imewazidi mbali, wana safari ndefu unless wabadilishe miongozo yao
Well-Said hawa kapuku bado sana ujinga wao tu ndiyo ulisababisha uanzishe vita na mtu anayekuzidi nguvu huo ni umburula!!!
 
Huwezi kutoa 0% akati mapigano bado yanaendelea kijeshi na kamanda battalion 401 Kaua juzi, na hamas bado wako front wanafanya oparations kila siku na kutoa ripoti

Intelligence yao huwezi kuibeza kwakua mpaka sasa wanashikilia mateka na wameongeza wanajeshi kadhaa waliokutwa kwenye kifaru, kuuawa kwa viongozi kweli ni changamoto lakini wamefanya vizuri kiintelijensia kulingana na ability yao

Kiuchumi nimesema kabisa wamepigwa hilo halina ubishi

Kiteknolojia ndio nimeona wajipange watafika tu kwani hata hizbollah nae alipitia hii changamoto lakini sasa anapiga anapotaka yeye ndani miji ya mzayuni kwahio hapo akipapatua akafika hata 60% zayuni atapunguza kama sio kuacha kabisa uonevu
Sasa nimegundua wewe hujui na huelewi mambo mengi hasa ya kijeshi Huna hata hiyo idea. Kwa akili yako ndogo hiyo unaamini Hamas watakuja kuishinda kijeshi Israel? Unaamini Allah atakują kuwapa ushindi kwa Danika hizi za Majeruhi? Bado uko nyumba sana kijana. Harafu unadai kuwa wameongeza mateka wengine!!! Wapi na lini hii haiwezi kutokea askari wa Israel kuteka na Magaidi wa Hamas au Hezbollah hii haiwezekani kwa sababu Toka waanze vita hii wanatumia mfumo wa kujihami “Defensive” mfumo huu huwezi kuteka askari yoyote unaweza kuua lakini kuteka haiwezekani kwa kuwa wewe hata mgambo hujapitia ni ngumu kunielewa lakini iko hivyo na ndiyo maana Toka vita hii ianze hujasikia askari wa Israel katekwa na haiwezi kutokea labda wakatambikie. Nimesema na hapo mwanza kukaa na mateka kipindi kirefu hakukupi wewe kuwa una intelijensia nzuri kwanza Israel haiwezi kutumia nguvu kupata kiasi kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya mateka hivyo wanawaacha wazurule nao wanajua wapi watagota. Kuhusu kuua kamanda wa kikosi cha sijui 401 hiyo si sababu ya Hamas kuwa na intelijensia nzuri, pia unazungumzia Hamas wajipange lini walishindwa kujipanga kipindi bado hawajavamia ndiyo wajipange sasa huo sasa ni utoto kabisa. Kwa taarifa yako Hamas baada ya vita hii ndiyo nitolee kabisa hataweza kuongoza tena Gaza maana Kanyea Kambi.
 
Sasa nimegundua wewe hujui na huelewi mambo mengi hasa ya kijeshi Huna hata hiyo idea. Kwa akili yako ndogo hiyo unaamini Hamas watakuja kuishinda kijeshi Israel? Unaamini Allah atakują kuwapa ushindi kwa Danika hizi za Majeruhi? Bado uko nyumba sana kijana. Harafu unadai kuwa wameongeza mateka wengine!!! Wapi na lini hii haiwezi kutokea askari wa Israel kuteka na Magaidi wa Hamas au Hezbollah hii haiwezekani kwa sababu Toka waanze vita hii wanatumia mfumo wa kujihami “Defensive” mfumo huu huwezi kuteka askari yoyote unaweza kuua lakini kuteka haiwezekani kwa kuwa wewe hata mgambo hujapitia ni ngumu kunielewa lakini iko hivyo na ndiyo maana Toka vita hii ianze hujasikia askari wa Israel katekwa na haiwezi kutokea labda wakatambikie. Nimesema na hapo mwanza kukaa na mateka kipindi kirefu hakukupi wewe kuwa una intelijensia nzuri kwanza Israel haiwezi kutumia nguvu kupata kiasi kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya mateka hivyo wanawaacha wazurule nao wanajua wapi watagota. Kuhusu kuua kamanda wa kikosi cha sijui 401 hiyo si sababu ya Hamas kuwa na intelijensia nzuri, pia unazungumzia Hamas wajipange lini walishindwa kujipanga kipindi bado hawajavamia ndiyo wajipange sasa huo sasa ni utoto kabisa. Kwa taarifa yako Hamas baada ya vita hii ndiyo nitolee kabisa hataweza kuongoza tena Gaza maana Kanyea Kambi.
Katekwa huyo,
 

Attachments

  • VID_20241007_075805_029.mp4
    4 MB
Katekwa huyo,
Unapojibishana na mimi lazima kuwa mwangalifu mimi siyo zuzu kama wengine unaweza kuwadanganya kwa video za Oct 07,2023 huyo askari walimuua kikatili sana na ndiyo maana mimi hawa nasema Gaza hakuna raia wasio na hatia huko. Kwa hiyo haiwezi kuhalalisha madai yako. Kwa Sasa hivi huwezi kusikia au kuona askari wa Israel katekwa. Habari hizo unazopewa ni Matango Pori tu.
 
Hakuna anyekudanganya unaposema Israel imeonyesha Failure katika kupigana na Hamas sijui unamaanisha nini na kivipi maana ume Generalize tu bila kutoa details zozote ku support tuhuma zako zisizo na kichwa na miguu!! Unaongelea kuhusu Mateka bila ushahidi wowote na maelezo ya Zaida. Toka Oct 07,2023 Magaidi wa Hamas waliteka watu 251 baada ya mapigano kufikia leo mateka walio kwenye mikono ya Magaidi wa Hamas wako 101 wengine Waliokolewa na wengine waliachiliwa kwa kubadirishana na wafungwa wa ki Palestina hayo wewe huwezi kuona kama ni mafanikio makubwa unachukulia tu juu kwa juu kuwa mateka hawajawapata wakati karibu musu ya mateka wote wamekombolewa. Kuhusu Mahandaki nakushangaa sana mengi ya mahandaki hayo yalishagundulika na kuharibiwa kabisa. Kuhusu Hamas kumalizwa wewe unataka wamalizwe vipi? Unadai pia kuwa Hamas wameua askari wengi wa Israel ni wangapi? Hakuna Idadi? Unasema pia kuwa hakuna walichofanikiwa!! Huko ni kutokujua tu kwako. Nakutajia tu mafanikio Israel iliyopata huko Gaza. Kwanza kuishikilia Gaza na kuifanya isiwe tishio tena kwa Israel maana hiyo Hamas hawatatawala tena Gaza. Pili kuwatia adabu viongozi wote wa Hamas wakiwemo Ismail Hanniye na Bwana wake Yahya Sinwar. Tatu kuwajua UNRWA ni tawi la Hamas sasa juhudi zinafanyika kutafuta mbadala wa shirika hilo na sasa shirika hilo tunakoenda halitaruhusiwa kufanya kazi Gaza hata na huko West Bank. Hayo ni mafanikio machache sana niliyokuwekea lakini yako mengi sana.
Bado unaendelea kuongopa,na kuongopa hakukusaidii kitu aisee.
Mateka waliookolewa asilimia kubwa ni wa mabadiliashano.
Mateka wengine walikufa,waliokolewa wakiwa maiti,wengine Israel iliwaua wenyewe.
Mateka waliookolewa hai na IDF hawafiki hata 10 ni 8 tu.
Huo umahiri unaouelezea wa IDF umetokea wapi!??
Kama kusingekua na mabadilishano hadi sasa inamaanisha mateka ambao IDF angekua kawaokoa kikamilifu ni NANE TU kati ya 250+.
UNRWA sio tawi la hamas bali kuna wafanyakazi ambao walibainika ni hamas ambao walikua wanatumikia UNRWA.
Israel ipo Gaza ila haijaidhibiti Gaza,na sahau Israel kuitawala Gaza, kwasababu hadi sasa Gaza ndio wanajulikana wakusanya kodi na hadi sasa Hamas wanarusha makombora na kupiga vifaru ndani ya Gaza hiyo hiyo.Labda hujui maana ya neno kudhibiti.
Tunnels nyingi sana bado ziko nzima na zina silaha na hadi sasa Hamas wanarusha maroketi kutokea kwenye hayo mahandaki.
Kama unataka uthibitisho sema nikuletee ripoti hapa ya Hamas kushambulia tokea katika hayo mahandaki ndani ya mwezi huu.
 
Kijeshi 0 kabisa - the fact IDF armed forces inaondoma na viongozi as if its nothing hiyo ni major flaw, they are weak, intelligence 0 - ingekuwa strong viongoz wao wangekuwa hai leo hii, technochlogia bado sana, mpaka wajipate na mzayuni atakuwa mbali sana, hatosubiria
Kiuchimu hakuna walicho gain ambacho kina mchango wowote, wanategemea misaada kuendesha operesheni zao

Honestly IDF imewazidi mbali, wana safari ndefu unless wabadilishe miongozo yao
Hapo unazungumzia kikundi cha wanamgambo sio jeshi la nchi.
Kitendo cha wao kupambana mwaka mzima na jeshi la nchi kama Israel lenye kila aina ya silaha hadi msaada kutoka Marekani ni lazima uwasifu kweli wanajiweza.
Ni mwaka sasa umefika bado wanarusha maroketi Israel na washawapa ulemavu wa kudumu wanajeshi elfu sabini wa Israel.
Jiulize kama wangekua jeshi kamili wana silaha sawa na Israel ingekuaje!?
Hapo anayeonekana dhaifu ni Israel.
Licha ya silaha zote hadi za usaidizi ila ameshindwa kuwa contain hao wanamgambo.
Kuua viongozi wao bado hakujawasimamisha wao kuacha kushambulia.
Bado tunarudi kule kule tu.
 
Nakushangaa unapokataa kuwa Hamas si wabakaji wakati walibaka,walitesa,waliteka na kuua watu Nina wasiwasi na wewe ni mbakaji ndiyo maana unawatetea sana wabakaji wenzako. Haya ushahidi huo hapo na kwa kuwa huna akili sawasawa utaukataa!!!!
Unaleta video ya mtu mmoja!?
No records showing that!?
Viunga vyote Hamas walivyovamia vina CCTV footages ila hakuna hata moja ilionesha Hamas akibaka au kuua mtoto.
Waliambiwa ICJ walete ushahidi wakaleta a blunt witness anayeongea maneno tupu asiyeweza kuthibitisha.
Pole yako.
 
Unapewa FACTS wewe unaleta ufala hili ndilo tatizo kubwa linalokukumba. Kwanza unadai waliuwawa kwenye hilo kanisa ni wana wake tupu na unadai wenye kanisa walidai hakukuwa na mshambuliaji kanisani huko!! “Take note” Hamas ni magaidi na wanatumia makanisa,misikiti na hospitali kuya shambulio Majeshi ya Israel kwa akili yako ndogo unataka wenye kanisa au msikiti wakuambie wewe Mmatumbi mwenzangu kuwa kanisa au msikiti wao unatumia kigaidi? Inaingia kichwani mwako? Ukiwa na kichwa cha panzi Najua unaweza kukubaliana nao. Pia umekuwa ukisisitiza sana humo kanisani kuli kuwa na wanawake tu kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Hamas haina magaidi wa kike na ina magaidi wa kiume tu?? Nimeelezea huko nyumba kuwa Nyumba za Ibada,Hospitali na majumba ya serikali zikitumika kigaidi kwa kuruhusu magaidi kuyatumia basi taasisi hizo zinakosa sifa ya kuwa Nyumba za Ibada,Hospitali au nyumba za serikali hivyo zinaweza kushambuliwa wakati wowote maana si nyumba za ibada bali zimekuwa Kama mipango ya wanyang’anyi tu. Kuhusu post #217 uliyoelezea kuwa Israel iliua watu wake yenyewe nasema hivi kwa kuwa wewe hujapitia mambo ya kijeshi na hujashiriki vita yoyote huwezi kuelewa labda kwa faida ya wengine nielezee hili. Vitani kuna mambo mengi kuna wakati kunakuwa na “Friendly-Fire” maana yake mnaweza mnaweza kupigana nyinyi kwa nyinyi kwa kutokutambuana hii Ina tokena mara kwa mara kwenye vita mbalimbali hasa kwenye vita vya msituni na Majini, kingine kinaitwa “Pre-Matual strike” hii inatokea mnapopanga kuwa muda kamili wa kushambulia eneo harafu ghafla wenzenu kwa kutokujua w akapit a eneo hilo hiyo pia inaweza kusababisha wnajeshi kuua wenzao. Kingine ni “MISINFORMATION” au “COMMUNICATION-BREACKDOWN” vyote hivi vinaweza kusababisha kuuana nyinyi kwa nyinyi vitani. Hivyo huwezi kujua wewe Mmatumbi mwenzangu ni nini kilisababisha wakaua wenzao na hii hawezi kuwa ni Makusudi vichaa pekee anaweza kuua bila sababu yoyote. Kuhusu kushambuliwa Jengo ambalo Magaidi wa Hezbollah walikuwa na benki yao na Marekani kukataa hiyo haijalishi marekani Krakatoa au Kakubali Ninachojua mimi hilo Jengo lote limeshushwa chini Hezbollah naye ni MANDONGA tu!!!!! Bila Shaka nimekujibu ipasavyo Ila kama una kichwa cha panzi hutanielewa hata hivyo niko hapa kuelimisha wajinga kama wewe!!!!!
Narudia hivi ACHA UFALA.
HAO WALIOANDIKA HAPO NI MAPADRE WA VATICAN NA HAO WALISHASEMA HAKUKUWA NA MWANAUME WALIOJIFICHA HUMO NI WANAWAKE TUPU.
WE JAMAA NI MSENGE NINI!?
UNATUMIA AKILI WEWE!?
YANI UNABISHANA HADI NA VATICAN AMBAO KANISA LAO LIMESHAMBULIWA!??
WE MWENDAWAZIMU NINI!??
YANI UNABISHANA NA VATICAN WENYE KANISA LAO AMBALO LIMESHAMBULIWA NA WENYEWE WAMETOA USHUHUDA KUWA WALIHIFADHI WANAWAKE TUPU!?
HALAFU ULIVYO MPUMBAVU FALA WA KUTUPWA NIMEKULETEA HABARI NEWS ARTICLE WEWE UNAONGEA MANENO MATUPU.
Mtu anaripotiwa kuua hadi raia wake mwenyewe kwa kutokufuata rules of engagement wewe unakuja kuropoka hapa!?
KWahiyo wewe unalijua hilo tukio kuliko hao mapadre wa Vatican walioshuhudia na kutoa ushuhuda!?
WEwe jamaa acha ufala narudia tena acha ufala.
Punguza ufala walau kidogo ujielewe acha ufala.
EMBU NIONDOLEE USENGE WAKO HAPA
.
 
Back
Top Bottom