Lakini si
Chama gani cha kisiasa kinamiliki jeshi na na silaha za kijeshi kaka
Bikira Maria atamkubaliRitz, acha ushabiki wa kizamani. Vita ni haramu. Na kuona mtu anakufa kifo kama hiki si kitu kizuri hata kidogo. Na nina hakika hakuna bikra anayeenda kumkubali kama hilo kovu kichwani halijapona
Bikira Maria hana ujinga wa kuruhusu watu wauane eti wanaenda kurithi mabikra 72. Uongo mkubwa kupata kutokea π π π π πBikira Maria atamkubali
Islamist wewe, unajiuliza na kujijibu mwenyeweMuisrael mweusi wa ITEWE kachefukwa.
View: https://x.com/drrpalestine/status/1846445048327463171?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hii picha imenikera sana. Inasikitisha sanaRitz, acha ushabiki wa kizamani. Vita ni haramu. Na kuona mtu anakufa kifo kama hiki si kitu kizuri hata kidogo. Na nina hakika hakuna bikra anayeenda kumkubali kama hilo kovu kichwani halijapona
Upumbavu mtupu.β‘οΈBREAKING: Taarifa rasmi ya Brigedi ya Al-Qassam inayotangaza kuuawa kwa Yahya Sinwar.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu
βUsiwadhanie walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti, bali wao ni wahai pamoja na Mola wao Mlezi wakipata riziki.
Kwa watu wa Palestina, kwa umati wa taifa letu la Kiarabu na Kiislamu:
Vikosi vya Al-Qassam vinatangaza kwa fahari kuuawa shahidi kwa kiongozi mkuu, Yahya Sinwar "Abu Ibrahim," kiongozi wa Harakati ya Upinzani ya Kiislamu, Hamas. Alipanda hadi kufa kishahidi, bila kurudi nyuma, katika vita vitukufu vya kutetea Msikiti wa Al-Aqsa, watu wetu, na haki zao halali. Ni fahari kwamba harakati yetu inawatoa mhanga viongozi wake mbele ya wanajeshi wake, huku viongozi wakiongoza msafara wa mashahidi, wakitoa maisha na damu zao katika njia ya Mwenyezi Mungu na kwa ajili ya ukombozi wa Palestina. Kuuawa kwa kiongozi wetu, katikati ya wapiganaji wenzake, kama shujaa aliyehusika katika vita na wavamizi ambao walidhani Gaza ingekuwa mawindo rahisi kwa jeshi lao waoga, ni ushahidi wa dhabihu hii.
Safari ya kiongozi wetu, βAbu Ibrahim,β ilikuwa ya heshima, njia ya kijihadi. Alikuwa sehemu ya kizazi cha waanzilishi wa Harakati ya Upinzani wa Kiislamu, Hamas, na matawi yake ya kijeshi na usalama. Alijinyima ukuu wa ujana wake katika magereza ya kazi hiyo kwa zaidi ya miaka 20 kabla ya kuachiliwa huku kichwa chake kikiwa juu katika "Mkataba wa Shalit." Alipoachiliwa, mara moja alianza tena njia ya jihadi bila kuonja raha. Alisimamia operesheni za kijeshi za harakati katika maeneo hayo matatu na akachukua jukumu muhimu katika kuunganisha pande za upinzani kwenye barabara ya kuelekea Yerusalemu. Kisha akaongoza harakati huko Gaza, na kuashiria kipindi cha mabadiliko katika safari yake ya kiroho, kisiasa na kijeshi, na kuhitimisha operesheni ya "Mafuriko ya Al-Aqsa". Uongozi wake ulienea hadi kwenye uhusiano wa kitaifa na juhudi za pamoja za upinzani kabla ya kushika uongozi wa vuguvugu ndani na nje baada ya kuuawa shahidi kiongozi mkuu Ismail Haniyeh.
Makundi ya muqawama, huku Hamas wakiwa kiini chao, walipoamua kuingia katika vita hivi vya kihistoria na vya kimaamuzi katika jihadi ya watu wa Palestina na njia ya taifa letu, walijua bei ya ukombozi ni kubwa mno, bei ambayo kila taifa ni lazima. kulipa kabla haijajikomboa kutoka kwa wakazi wake. Hamas imekuwa tayari kuongoza safu za dhabihu kutoka kwa mioyo ya watu wake, ikitoa viongozi na askari sawa, kukataa kusalimu amri kwa adui au kukaa kimya juu ya ukandamizaji wake na uporaji wa haki halali za watu wetu. Jihad yetu haitasimama hadi pale Palestina itakapokombolewa, Mzayuni wa mwisho afukuzwe, na haki zetu zote halali zirudishwe. Ushahidi wa wazi kabisa wa hili ni kwamba watu wetu hawajavunja wala kusalimu amri baada ya mwaka mmoja wa vita vya βMafuriko ya Al-Aqsaβ, licha ya gharama kubwa waliyolipa na jinai za kutisha za mauaji ya halaiki zinazofanywa na Wazayuni.
Adui huyu mhalifu ni mdanganyifu ikiwa anafikiri kwamba kwa kuwaua viongozi wa upinzani kama vile Sinwar, Haniyeh, Nasrallah, Arouri, na wengineo, anaweza kuzima moto wa upinzani au kuusukuma kurudi nyuma. Badala yake, itazidi tu na kuongezeka hadi malengo halali ya watu wetu yatafikiwa. Kuuawa kishahidi ni matarajio ya juu kabisa ya viongozi wetu, na damu yao itakuwa taa inayoangazia njia ya ukombozi na moto utakaoteketeza wavamizi. Viongozi wetu wamewaacha nyuma mamia ya maelfu ya wapiganaji kutoka miongoni mwa watu na taifa letu, walioazimia kukabiliana na uvamizi wa Kizayuni hadi pale Palestina na Al-Aqsa zitakapotakaswa na uchafu wake, na wavamizi wafukuzwa kutoka katika ardhi yetu, kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu.
Hakika ni jihadi kwa ushindi au kufa kishahidi.
Vikosi vya Al-Qassam β Palestina
Ijumaa, 15 Rabiβ al-Thani 1446 AH
Sambamba na 18/10/2024 AD
Jambo zuri haliwezi kuwa baya eti kwasababu tu alielifanya ni mtu muovu,wala jambo baya haliwezi kuwa zuri eti kwasababu tu alielifanya ni mwema.Unateseka sana, umebaki kuwa kada mwaminifu wa magaidi huku ukijifariji na viuzi vya kizushiπ€£
Bikira Maria ana mamlaka gani ya kutoruhusu au kuruhusu mambo ya mbinguni!?Bikira Maria hana ujinga wa kuruhusu watu wauane eti wanaenda kurithi mabikra 72. Uongo mkubwa kupata kutokea π π π π π
Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=BLax8VImu2M
Hao wayahudi walishashindwa vita, bora warudi nyumbani wakalale tu.
Gaidi hana haki ya kusikilizwa.Jambo zuri haliwezi kuwa baya eti kwasababu tu alielifanya ni mtu muovu,wala jambo baya haliwezi kuwa zuri eti kwasababu tu alielifanya ni mwema.
"Gaidi nae mtu asikilizwe"
Na kama umemshuku ni gaidi na kumshuti kisha ibainike hakuwa gaidi sheria inasemaje hapo!?Gaidi hana haki ya kusikilizwa.
Unamsikiliza vipi mtu amejiviringisha mabomu ili kulipuka afe na watu?
Sheria ya ugaidi inaruhusu ''to shoot on sport''
Ukimshuku mtu kwamba ni gaidi ni kupiga risasi haraka sana.
Hii ni kumuwahi kabla hajajilipua.
Ajali kazini.Na kama umemshuku ni gaidi na kumshuti kisha ibainike hakuwa gaidi sheria inasemaje hapo!?
Bikira Maria ana mamlaka gani ya kutoruhusu au kuruhusu mambo ya mbinguni!?
Ungekuwa unatumia akili yako vizuri usingeuliza maswali uchwara Kama hayo!! Hamas ni magaidi na sofa za magaidi ni kutokuvaa uniform wanajichanganya na raia na kuwafanya raia kuwa Kinga Yao. Wanafanya watoto na wanawake kuwa kinga na kutumia vifo vya watoto kutafuta huruma Toka kwenye Jumuia za kimataifa wanajua kabisa wakisingizia watoto wanakufa lazima ulimwengu utrwalonego huruma tu. Uzuri Jeshi la Israel lina juma vizuri sana mbinu za magaidi hao hivyo wao wanaendeleza tu mapambano mpaka raia wao waliotekwa waweze kuachiliwa. Maswali ya kijinga Kama hayo hayatakusaidia chochote.Ukizungumzia Oktoba 7 basi usisahau Agosti 23 Israel ndio ilianza kwa kukanyaga wabedui na vifaru mashamba ya Khani Younis.
Hamas ilifanya kama kisasi.
Ukizungumzia tuhuma za human shield nenda kafuatilie je katika wale waliouawa mbona hakupatikanika mwanahamas wala silaha ya hamas?
Kwanini wakifa wanaonekana wanawake,watoto na wazee?
Mbona hatuoni vijana maiti zao zikiwa zina silaha!?
Infantry ni ngumu sanaIla Israel vita ya ardhini sijui kwanini ni wachovu.
Ni wazuri wa covert ops na sabotage, pia ni wazuri kwenye air force lakini infantry jamaa ni weupe.
Nikisema huna akili unasema nakutukana.Ungekuwa unatumia akili yako vizuri usingeuliza maswali uchwara Kama hayo!! Hamas ni magaidi na sofa za magaidi ni kutokuvaa uniform wanajichanganya na raia na kuwafanya raia kuwa Kinga Yao. Wanafanya watoto na wanawake kuwa kinga na kutumia vifo vya watoto kutafuta huruma Toka kwenye Jumuia za kimataifa wanajua kabisa wakisingizia watoto wanakufa lazima ulimwengu utrwalonego huruma tu. Uzuri Jeshi la Israel lina juma vizuri sana mbinu za magaidi hao hivyo wao wanaendeleza tu mapambano mpaka raia wao waliotekwa waweze kuachiliwa. Maswali ya kijinga Kama hayo hayatakusaidia chochote.
Ulivyo bwege hata hujui kuedit propaganda angalia tarehe hapo chiniMuisrael mweusi wa ITEWE kachefukwa.
View: https://x.com/drrpalestine/status/1846445048327463171?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw