Mkuu sisi hapa tunachokililia ni jinsi gani serikali hii ya magamba ilivyo kuwa ovyo linapotokeaga jangaa kwenye uokowaji ni zero kabisa!
Mv bukoba, mv spice etc majanga yote hayo uowokoaji ulikuwa zerooooo
EEEEEH Mungu,wapo wapi waja wako jamani?
Mimi nikiwa kma mwana ukawa ila filiponjombe nlikuwa namkubali sana!Alafu yule mpuuzi January kazi kusema wako hai, hakuna majeruhi.. Bure kabisa hawa watu
Hizi ni pumba zilizopitiliza,, kuwa rubani wa helicopter hakuhitaji kadi ya chama bro,,, hiyo ni taaluma ambayo mtu husomea na kufuzu vizuri ndio hupewa leseni ya kurusha.... Tafuta maisha kwa nguvu yoyote uandae maisha ya familia yako na sio kuwa na wivu ukiona mtu asiye sehemu ya familia yako akifanikiwa... Ungesoma shuleni kwa bidii na ukafaulu kwa kutumia kichwa chako vizuri na ukawa mhangaikaji kwa maana ya kujitambua mapema basi ungejua nini cha kusomea na sio hiyo fani uliyosomea na kuwa na chuki na wenzio,,, mlaumu mzazi wako kwa kutopambana na kukuandalia maisha vizuri,, kama hiyo haitoshi usikate tamaa bado muda unao pambana tunza fedha,, heshimu maisha yako,, usiendekeze ulevi na umalaya, pambana kimaisha bro tunza na iheshimu hata shillingi,, ukizipata jaribu kuandaa Future ya wanao na nduguzo,,, vipi unabustani hata ya nyanya katika umri wako hii bro!!! au ndio unategemea mshahara ufanye kila kitu?? Au ndio Wale mnaotaka utajiri bila kufanya kazi na kumuomba mungu...???
Huu ni upuuzi wa hali juu chama kinaweza kuwalipa wasanii Milioni 100 kwa siku mnashindwa hata kukodi helicopter za uokozi kusaidia toka usiku wote huo hatakama walikuwa salama je kama wanavuja damu si ndo washapotea sasa Huu ujinga kwelikweli au Maisha ya watu sio bora kuliko wakiwa wapambe tena Mwingine anajifanya kusimamia vijimsimamo vya kijinga Et CHOPA ZA CCM ZIPO SALAMA, hawa
walikuwa kwenye Air Malaysia?
Itakayofuata kulipuka ni ile ambayo Lowasa atakuwamo,
Jeshi linatuangushaga sana linapotokeaga suala la kufanya uokoajiYani tuache kabisa hata ingekua Baiskeli masaa yote hayo hujaokolewa lazima uende, ,, hata KIU huwa Inaua, ,, sembuse Chopa. ...wale makomandoo wa Jeshi tunaowaonaga na Paratute si watumike jaman, ,, achanenni na makamba anaokoa watu kwa wall ya twitter
Mimi nikiwa kma mwana ukawa ila filiponjombe nlikuwa namkubali sana!
Ila vp mzee wa kutuita malofa+wapumbavu alikuwemo humo au??
Unajua kinachoendelea huko on ground muda huu kwenye hiyo operation?? Kama unajua, tujuze basi. Kwa kweli wavaa katakei na mihemko yenu tunawavumilia sana. Uchaguzi uje, upite tupumzike.
Mh unanitisha iligongana na Kitu! My God isije ikawa mtimanyongoTaarifa za ajali ya helkopita aliyokuwa akisafiria aliyekuwa mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe mpaka sasa ni za kutatanisha.
Muda mfupi uliopita nimeongea kwa njia ya simu na Naibu Waziri wa Maliasili na utalii Mahamoud Mgimwa amesema mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kuhusu tukio la kuanguka kwa Helkopita iliyokuwa na abiria kadhaa akiwemo Deo Filikunjpmbe.
Mgimwa ambae yuko Handeni kuhudhuria mazishi ya waziri wa zamani wa viwanda na biashara Dk Abdalah Kigoda amesema ajali hiyo imetokea eneo la Selou ng'ambo ya mto Rufiji ambako hakuna mtu anaeweza kufika kwa sasa na hakuna hata abiria yeyote kati ya waliokuwemo kwenye helkopita hiyo ambae amethibitisha kuwa wako salama.
Amesema taarifa kutoka Selou zimeeleza kwamba helkopita hiyo iliomba kutua katika moja ya maeneo ya pori la Selou lakini ilipoteza mawasiliano kabla ya kutua na mpaka sasa haijulikani iliko ingawa juhudi zinaendelea kufanywa ili kufika kwenye eneo la tukio lakini itakuwa ni asubuhi kwasababu sasa tayari ni usiku.
Nae Meneja wa pori la akiba la Selou, Benson Kibonde amesema amepata taarifa za kutokea kwa ajali hiyo na hakuna taarifa zozote kuhusu usalama wa abiria na helkopita waliokuwa wakisafiria.
Kibonde amesema taarifa kutoka Selou zimeeleza kuwa ulisikika mlio kama vile helkopita hiyo iligonga kitu na baadae ulionekana moto angani na mpaka sasa hakuna taarifa kuhusu hali ya abiria na iwapo helkopita hiyo imeharibika kwa kiwango gani.
Mtoto wako akikaa chini ni upumbavu wako. Miti yote hii huioni?