TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Idara ya wanyamapori iliagizwa na waziri mwenye dhamana waende eneo la tukio kutoa msaada kwa wahanga wa hiyo ajali.

baada ya kuagizwa Ccm/ serikali na vyombo vya habari si wangetupa updates?
 
Members hebu muda mwingine tunapotafakali matendo ya Mungu basi tuweke Siasa Pembeni, Mimi ni mwanachama Hai wa ACT, lakini Kura yangu nilisha sema kwa LOWASA, kwasababu naijua vizuri Demokrasia.

Sasa Chama kingine kinapo pata Tatizo tunapaswa sote Kama Watanzania tushikamane kufarijiana, Hizi Kampeni zina mwisho wake lakini Utanzania wetu hauna mwisho,

Inasikitika sana watu wanapo furahia Kufa kwa kiongozi fulani eti kwasababu ametokea CCM, Please HUU SIO UTANZANIA WETU TUNAKIUKA MISINGI TULIYO ACHIWA NA MWALIMU NYERERE, WATANZANIA WOTE NI NDUGU

Je!! Kupanda Jukwaani Na Kuaza Kuizihaki AFYA Ya Mtu Nao Ni Uungwana??
 
Jamani there is something wrong behind the scene! Inamaana hata askari game wa selous bado hawajafika eneo latukio kutujuza facts yaliyojiri? Dah hii kweli tz. Wapi mtaalam wa majanga mbatia!
 
Jamani there is something wrong behind the scene! Inamaana hata askari game wa selous bado hawajafika eneo latukio kutujuza facts yaliyojiri? Dah hii kweli tz. Wapi mtaalam wa majanga mbatia!
CCM kuna watu ama koroma tupu?
 
mambo ya kafara tuliambiwa wana mbinu nyingi za kushinda!
 
Hivi Deo amewahi kufanya biashara gani hadi awe na UKWASI wa kukodi chopper ya campaign ? Kumbe mgawo wa ESCROW ulikuwa balaa ... yetu macho ...
 
E Bwana Eh! Hapa Mgombea Wa Ukawa Alikuwa Anapita Bila Kupingwa!!! Nadhani Rangi Ya Kijani Na Njano Ktk Chopa Hii Ndio Iliyopelekea Kuanguka!, Sio Hitilafu!, Tulianza Na Mungu, Tutamaliza Na Mungu!
 
Hahaha Ikianza Kuanguka Atakufa Kabla Ya Kufika Chini Makopo Yote Ya Sindano Anazochomwa Yatadondoka Mbugan, Na Kopo La Asali Litadondoka, Victorie Umenchekesha
Mbona haichekeshi?
 
Khaa!! Hivi kweli katika raia million 45 na zaidi hakuna anayeweza kufanya chochote kuhusu hili? Hatuwezi hata tumia akili kidogo chopa zote ziliz kwenye kampeni zikaeelekea huko? :mad2:
Mi hata sishangai ndivyo tulivyo. ndo uwezo wetu. yaani hao ndo sisi. kama twiga wanapandishwa ndege na watu wasiozidi kumi na wanaenda. kama leo mtu ana kupangia bei ya kununua jasho lako na si wewe ndo umpangie kama kuna midhahabu, gas sijui misitu lakini bado tunaitwa third world country. sisi ni wajinga tena kama si wapumbavu sijui haiwezekani vichwa vichache vituharibie maisha afu wanaume wazima tuna shave every morning. na all this life amekosekana mwanaume kama idd amin mseven,kagame,hitler na mussolini. siwasifii lakini hawa ni watu waliothubutu kusimamia dhamiri yao. waliguswa na waliona wanawajibu wa kubadili maisha ya watu. yawezekana utawala wao haujakidhi kiu ya watu wao ila hawa waliamini wao ndo watabadilisha mataifa yao na wakaweza. so mimi wewe na yule uwezo wetu ndo huu
 
ntamaholo sheria ya mtandao inanibana ningeshafuka ajue kuwa anachukiwa sana zaidi anavyofikiri!

ha ha ha ha pole sana mkuu. Lakini kumpa mtu makavu hakumwondolei kitu lkn kunaweza kuwa kunamwongezea kitu. Bora kumchunia tu apotee kama wanavyopotea wengine kwa kuisaliti jamii.

Kuna watu kabla ya usaliti kila siku tulitaja majina yao lakini waliposaliti matarajio ya umma wamepuuzwa hata wakiandika hakuna anayeshabikia upuuzi wao, wakiwa live tv hakuna anayewaangalia
 
Akilizako haziko Sawa tambua baada ya uchaguzi maisha yanaendelea kumbuka kwa elimu uliyoipata njombe haijakusaidia ila mkataa cha wengi ni mchawi huenda ukawa.
 
ZITTO Kabwe Ruyagwa Zittokabwe Nimepata taarifa za awali kutoka eneo la tukio. Ndugu yt Deo na baba yetu Silaa na abiria wengine wapo Salama. Polisi wanaendelea na juhudi
 
Last edited by a moderator:
Woote mnaochangia humu bila Shaka ni mazao ya.......itakuwaje uikatae inamaana hata wewe unajikataa?
 
Nina wasiwasi sana na utayari wa jeshi letu tukio kama hili jeshi lilitakiwa limeshafika na kuokoa waathirika
 
Mkuu Hizo Cost Zote Hazizuii Nyie Kujenga Ofisi,viongozi Wenu Wameshindwa Kuplan Na Kuorganize Vitu.....Niambie Ruzuku Kwa Mwezi Mnapokea Sh. Ngap Na Hivo Vitu Vinacost Sh.Ngap?

Watu wenye HOJA kama za kwako huaga nawadharau sana; jamaa kakwambia vizuri bado huelewi; unapokua na Tsh 5bilioni (mfano tu) kichwani kama binadamu au kiongozi unaweza kua na vitu vingi vya kufanya na sometimes hivyo vitu vyaweza kua either vingi au vichache but kuvifanya vyote hiyo pesa inaweza isitoshe, nini unachotakiwa kufanya then, hapi ndipo suala na opportunity cost linapoingia; fanya yale yalio ya muhimu naya lazima kwanza the ukifuatiwa na yale yenye priority ndogo. Chadema na Cuf kwa mfano; CUF wameweza kujenga ofs yao but ni the same CUF ambao hua hawafanyi ziara za kukitangaza chama chao na kwakufanya hivyo Chama chao kina mashabiki wachache sana huku bara but Chadema hawana ofs ya wao wenyewe but sasa hivi Chadema ipo everywhere in this country, hadi vijijini Chadema ipo.
 
Huu ni upuuzi wa hali juu chama kinaweza kuwalipa wasanii Milioni 100 kwa siku mnashindwa hata kukodi helicopter za uokozi kusaidia toka usiku wote huo hatakama walikuwa salama je kama wanavuja damu si ndo washapotea sasa Huu ujinga kwelikweli au Maisha ya watu sio bora kuliko wakiwa wapambe tena Mwingine anajifanya kusimamia vijimsimamo vya kijinga Et CHOPA ZA CCM ZIPO SALAMA, hawa walikuwa kwenye Air Malaysia?
 
Zitto kaandika verse za Quran nusu SAA iliyopita, sijui anamaanisha nini?
 
Back
Top Bottom