TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Members hebu muda mwingine tunapotafakali matendo ya Mungu basi tuweke Siasa Pembeni, Mimi ni mwanachama Hai wa ACT, lakini Kura yangu nilisha sema kwa LOWASA, kwasababu naijua vizuri Demokrasia.

Sasa Chama kingine kinapo pata Tatizo tunapaswa sote Kama Watanzania tushikamane kufarijiana, Hizi Kampeni zina mwisho wake lakini Utanzania wetu hauna mwisho,

Inasikitika sana watu wanapo furahia Kufa kwa kiongozi fulani eti kwasababu ametokea CCM, Please HUU SIO UTANZANIA WETU TUNAKIUKA MISINGI TULIYO ACHIWA NA MWALIMU NYERERE, WATANZANIA WOTE NI NDUGU
 
Khaa!! Hivi kweli katika raia million 45 na zaidi hakuna anayeweza kufanya chochote kuhusu hili? Hatuwezi hata tumia akili kidogo chopa zote ziliz kwenye kampeni zikaeelekea huko? :mad2:
we unafikiri kuwa chopa inaweza tuwa sehemu zote siyo kosa lako maana twaweza walisha tuambia 75% ya vijana wa ccm ni mazuzu
 
This incident is horrific.. What if they wont be found.....
 
kumbe vinauma eeeeeh,by the way nilikuwa namquoate aliyetamani mkapa angekuwemo kwenye hiyo chopa

Hahaha Ikianza Kuanguka Atakufa Kabla Ya Kufika Chini Makopo Yote Ya Sindano Anazochomwa Yatadondoka Mbugan, Na Kopo La Asali Litadondoka, Victorie Umenchekesha
 
Hahaha Ikianza Kuanguka Atakufa Kabla Ya Kufika Chini Makopo Yote Ya Sindano Anazochomwa Yatadondoka Mbugan, Na Kopo La Asali Litadondoka, Victorie Umenchekesha

Wewe na huyo mwenzio aliyekuchekesha mnahitaji kusamehewa na jamii...............
 
Members hebu muda mwingine tunapotafakali matendo ya Mungu basi tuweke Siasa Pembeni, Mimi ni mwanachama Hai wa ACT, lakini Kura yangu nilisha sema kwa LOWASA, kwasababu naijua vizuri Demokrasia.

Sasa Chama kingine kinapo pata Tatizo tunapaswa sote Kama Watanzania tushikamane kufarijiana, Hizi Kampeni zina mwisho wake lakini Utanzania wetu hauna mwisho,

Inasikitika sana watu wanapo furahia Kufa kwa kiongozi fulani eti kwasababu ametokea CCM, Please HUU SIO UTANZANIA WETU TUNAKIUKA MISINGI TULIYO ACHIWA NA MWALIMU NYERERE, WATANZANIA WOTE NI NDUGU

Nakubaliana na wewe ila ujue ni matokeo ya siasa na mikakati michafu ya CCM. CCM imetujengea chuki zisiyo na kifani kwa kujitenga kuwa CCM ina wenyewe na wao ndio wana dola kwa hiyo wengine sisi ni MALOFA NA WAPUMBAVU. Na iondoke tu tuanze upya.
 
Kwani mpaka muda huu hakuna jipya toka eneo la tokio?

Idara ya wanyamapori iliagizwa na waziri mwenye dhamana waende eneo la tukio kutoa msaada kwa wahanga wa hiyo ajali.
 
Mkuu Ajali Kitu Cha Kawaida Na Sio Kitu Cha Kuombeana Na Sio Kama Natetea.
Kuna Vitu Vingine Sio Vya Kuilaumu Serikali,mf.Magari Ya Zimamoto Yapo Lakini Wanayotumia Hayo Magari Hawaweki Maji Ya Kutosha Hapo Utailaumu Serikali Au Ni Uzembe Wa Hao Watumishi?
Ndo Maana Nasisitiza Watz Tukae Katika Nafasi Zetu Tutimize Wajibu Wetu Ipasavyo..

Wewe jamaa utakuwa mnufaika na mfaidika mkubwa wa elimu ya ccm iliyokuwa na lengo la kumfunga Mtanzania awe mbulula.Pole sana.
Umeshawahi kujiuliza uzembe wa watumishi unasababishwa na nini au na nani?Kama mkubwa wa hao watumishi wa zimamoto angetimiza wajibu wake,hayo magari watumishi wasingekuwa wanayaweka maji?Mnyika aliwahi sema nini bungeni kuhusu kufikishwa hapa kwa nchi yetu?
 
www.millardayo.com inaeleza kuwa waziri Nyalandu ameeleza jinsi watu waliokuwa karibu walvopiga simu kwa njia ya satelite na kusema kuwa waliona moto!
Ee Mungu endelea kutenda miujiza, wawe salama wote!
 
Back
Top Bottom