TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Filikunjombe alihonga jina la mshindani wake kutoka UKAWA likafutwa. Huo ulikuwa ubinafsi mkubwa wa kutanguliza masilahi binafsi badala ya wapigakura kumchagua kiongozi wampendaye
 
Hivi huyu Deo anavyokubalika alikuwa na ulazima wa kukodi haya machopa? mambo mengine yanakera sana kuna ambapo Mungu anatufunza kwa mifano.
 
Mpaka hapa serikali inaudhi sana. Jamani mpaka sasa hakuna taarifa za ndugu zetu. Inaonyesha uokoaji ni sifuri.Ndugu zetu wanaweza wakafa kwa kukosa huduma kama kuongezewa damu na njaa
 
Hivi huyu Deo anavyokubalika alikuwa na ulazima wa kukodi haya machopa? mambo mengine yanakera sana kuna ambapo Mungu anatufunza kwa mifano.

Mwanangu alikua anamkapenia Magufuli.
Hata angetumia gari ,muda ukifika unaondoka tu.
 
Wanafamilia wameshajulishwa kuhusu ajali hiyo? Ajali nyingine sio rahisi kukurupuka na taarifa ni vizuri watu wakaandaliwa kupokea hizo habari.inawezekana pia hakuna kilichotokea ikawa ni kupima hisia za watu.seleous sio katikati ya bahari ya atlantic hata taarifa zisipatikane kirahisi.
 
Bado namatumaini wapo hai...ila kuchelewa kuja kwa update wahusika ni wazembe
 
siasa hizi zitatuua mwaka huu silaa amefiwa na baba yake badala yakusikitika anaanza kutoa shukurani kwa magufuri!
 
rest in eternal peace Deo filikuchombe. jery slaa amethibitisha
 
Jamani nimeona note ya Jery Silaa kwenye FB,watu wote waliokuwa kwenye ndege hiyo wamepoteza maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…