Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Huyu jerry nae ovyo sana.. Sasa anamshukuru Magufuli kwa lipi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi propaganda tu,tunajua kuwa ukawa mnatuombea mabaya,ila sisi tuko na Mungu,Hapa kazi tu,magufuli atosha
Nape Nnauye alikwemo?
R,I,p unazani kumuombea mabaya mwenzio ni vizuri? IPO siku na wewe yatakikuta acha ujongaTuliza mshono mpuuzi ww, usilete SIASA kwny maisha ya watu!!! Pumbavu&nusu kabisa...
R.I.P Filikunjombe, William Slaa na abiria wote waliokuwepo kwenye Helicopter!!
Kweli hii ni bongo land.
Kwa hiyo kila mtu anaotea? Hakuna hata mwenye mamlaka ya kuhabarisha! Khaa
Hizi propaganda tu,tunajua kuwa ukawa mnatuombea mabaya,ila sisi tuko na Mungu,Hapa kazi tu,magufuli atosha
Hizi propaganda tu,tunajua kuwa ukawa mnatuombea mabaya,ila sisi tuko na Mungu,Hapa kazi tu,magufuli atosha