TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Mwaka huu ni wa ajabu kwa kweli....! R.I.P Deo Filikunjome, Christopher Mtikila, Makaidi, Celina Kombani, Kigoda, et al...!
 
Wakuu habari za huzuni ni hizo.. Mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe afariki dunia katika ajali ya helcopter
 

Attachments

  • 1444995188539.jpg
    20 KB · Views: 3,082
Duuuhh!! Deo Firikunjombe Bonge La Kiongozi, Mi UKAWA Ila Deo Jembe!!
 
Deo jamani, ni pigo kubwa sana, sitaki kuamini, kwa Mungu umeliruhusu hili? Nisamehe kwa kuhoji hili, nimeumia sana. Pumzika kwa amani DEO,
 
Reactions: nao
R.I.P deo sina namna ya kuelezea machungu yangu. Why why God
 
Reactions: nao
Nimewaza kuhusu deo nikakumbuka mch mtikila nae ni wa huko ludewa,dah poleni sana ludewa
 
R.I.P wapendwa, mungu kawapenda zaidi. Mmetangulia na sisi tutawafuata.
 
Wamefariki wote waliokuwa kwenye helicopter na si yeye tu
 
Juzi nilikuwa na mtu mmoja wa Ludewa.. Akaniambia tangia siasa za vyama vingi zianze hakuna mbunge aliyerudi mara mbili bungeni katika jimbo lao, na ni Deo pekee ndiye ambaye angekuwa wa kwanza.. R.I.P Deo

Fafanua vizuri hapa mkuu
 
Huu msiba ni mkubwa kwa taifa letu TZ,hapa hakuna ishu ya itikadi ya chama,Mwenyezi Mungu azirehemu roho za marehemu wote wapumzike kwa amani.Amina
 
inauma sana deo alikuwa mwadirifu jaman noway pumuzika kwa aman ila ukozi umechangia jaman kuwapoteza hawa watu daaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…