TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Nenda kwa aman baba tu nyuma yako m ni mwanamabadiliko ila nilipenda utendaji wako sn!
 
Huyo makamba anajifanya mjuaji sana! Atakuwa kaenda kukodisha helikopta hizo bila kwenda na wataalam, Anakodisha helikopta hizo utafikiri Anakodisha chup za mke wke.
January ndy wa kulaaumiwa

mrangi!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Hao Walimu mnaoletewa na Serikali si ndio wapo kwenye Shule kama hizo.
 

Attachments

  • 1445021923115.jpg
    33.5 KB · Views: 609
  • 1445021982733.jpg
    21.1 KB · Views: 627
  • 1445022172612.jpg
    6.2 KB · Views: 619
  • 1445022280202.jpg
    22.7 KB · Views: 692
  • 1445022326287.jpg
    16.6 KB · Views: 1,470
YAFAA TUMLAUMU ALIYEZIKODI CHOPA?.
kuigaiga kumeigharimu nchi sasa!.
Inauma saana kumpoteza mpiganaji kama deo,mungu ailaze roho ya marehemu wote mahali pema peponi.
AMEN!.
 
Jimbo la ludewa limepata wabunge Watano t uhuru, na wanne wamefariki wakiwa wabunge, mama baraka, kihaule, Crispin haule n horace kolimba, aliyehai ni stanley kolimba tuu
 
POLE SANA FAMILIA/
TUMEMPOTEZA WAZIRI MKUU MTARAJIWA,PAMOJA NA YOTE HATA WEWE HUUPATI UWAZIRI MKUU!
ii
 

Hao Walimu mnaoletewa na Serikali si ndio wapo kwenye Shule kama hizo ambazo tayari mshaziwekea Madawati ya kutosha.
 

Attachments

  • 1445022663610.jpg
    14.2 KB · Views: 679
  • 1445022759844.jpg
    10.9 KB · Views: 666
  • 1445022854511.jpg
    8.8 KB · Views: 669
  • 1445022919807.jpg
    10.3 KB · Views: 653
YAFAA TUMLAUMU ALIYEZIKODI CHOPA?.
kuigaiga kumeigharimu nchi sasa!.
Inauma saana kumpoteza mpiganaji kama deo,mungu ailaze roho ya marehemu wote mahali pema peponi.
AMEN!.

Hakuna anekodi chombo cha usafiri ili kije kiue, kama unataka kulaumu chama, jua chama kilikodi chopa nne, ambazo zipo salama mpaka sasa, lkn pia uelewe huenda aliekodi ni marehemu mwenyewe, maana chopa ilikuwa na picha yake na ya mgombea urais, sasa unamlaumu aliezikodisha sikuelewi unamaanisha nini!!!
 
February m...ndege zote za ccm ziko ok

nm.....kweli kuna ajali watu qote wako.salama ila akuna.mawasiliano

umejuaje wako salama mnajua mnafanya watu wapuuzi hadi vitu muhimu so bad

ya dk hivyohivyo mnaambiwa hivi mnasema vile badae mnarudi hivi loh

nilijua kwenye kampeni tu hadi na nanii tunadangamya
 
UKAWA baada ya kushindwa SIASA na kuzisoma namba kuwa IKULU imeponyoka wameanza kuzusha habari za uongo na kutishia watanzania...... Ni Kwa Sababu hii NDIO TUNAIRUDISHA MADARAKANI CCM tena Kwa KISHINDO!

I can't imagine sura ilivyokushuka baada ya kuhakikishiwa kuwa its true. R.I.P Deo filijunjombe
 
Naomba.zisiwekwe.m nimwblock wanaonitag huzuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…