TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!


Mambo ya kujiliwaza tu! Nasubili nione hizo nne zilizobaki, nani atazipanda na kuweka manjonjo ya kuiga.

Hii ni nchi isiyo na viwango. Tumecheza na viongozi chini ya viwango, hospitali chini ya viwango, barabara chini ya viwango na sasa nikiambiwa chopa zote zilizoletwa ni chini ya viwango, sitaona ajabu. Mambo yote tunawaza dili tuuuuu!
 
Nimesoma.mada humu hata kabla ya kuhakikishiwa vifo kuna watu wa aina humu ndani

1))WAKATILI
2))WENYE WIVU
3))WASIOMWOGOPA MUNGU
4))MUNGU AWASAMEHE NA DEO UWASEMEHE UKUPENDA KUUNGUA DEO LEO TUNATUMIA DNA.KUKUTAMBUA.LUGALO
 

Dogo alianzia Galanosi.
 
Nimesoma.mada humu hata kabla ya kuhakikishiwa vifo kuna watu wa aina humu ndani

1))WAKATILI
2))WENYE WIVU
3))WASIOMWOGOPA MUNGU
4))MUNGU AWASAMEHE NA DEO UWASEMEHE UKUPENDA KUUNGUA DEO LEO TUNATUMIA DNA.KUKUTAMBUA.LUGALO

Mkubwa, usiogope kifo hadi kikufanyishe usiyopenda. Mbona TZ tulikuwa tukifurahia na kumtakia kifo Idd Amin? Kila mtu ana shujaa wake, na kama wewe si shujaa wangu, nitakuombea balaa lolote.
 
kwaheri Deo,kwaheri member mwenzetu jf.Ishu moja watz mnielewe,kuna jambo kubwa sana linatokea na linaendelea kutokea nchini,and it's more spiritual...
 
Si walijiapiza kwamba hawatatumia chopa kwa vile barabara wametengeneza na wanaizionea fahari?Filikunjombe si alipita bila kupingwa sasa safari za giza za nini,na likuwa anakwenda mtunuku mungu yupi huyo juhudi zake? Lazima aingie mkenge kwa vile hakuwahi kuwa mtu wa wapenda haki..polisi ni polisi km wengine laana haiwaachi..hujifanya wema palipo na kula na sifa za kuwapandisha vyeo...gizani ni waovu tuu hawana dini wala utu....ripoti ya escrow ni laana kwa nchi yetu..ni Mungu aliiokoa nchi DKK za Mwisho... ni toppings ya kufuru.....polisi kuwatumia ni rahisi sana....niliangalia video yake ilikuwa laana tupu..kajenga office ya walimu kwa gharama kubwa sana ili awatumie walimu...badala ya kujenge jengo imara na simple ili fedha nyingine ziongeze madarasa ktk hiyo hiyo shule wanafunzi wengi zaidi wapate madarasa na wanafunzi wakae wachache....Mungu anajua kilichofanyika watanzani wenzetu tuwaambie waache upuuzi wawe na mipaka ya sifa kwa marehemu
 
Filkunjombe ni mzalendo makini. Taifa bado linamhitaji.
Kwanini hilo Taifa likampandisha chopa ?....Neno TAIFA kwa wamalawi ni km ugaidi...TAIFAS ni washika watumwa , wamamizi na wauaji kutoka mbali kupitia ktk pwani,fuko na ardhi ya Tanganyika....ndio hicho unamaanisha kinamhitaji huyo jamaa?
 
Nimesoma.mada humu hata kabla ya kuhakikishiwa vifo kuna watu wa aina humu ndani

1))WAKATILI
2))WENYE WIVU
3))WASIOMWOGOPA MUNGU
4))MUNGU AWASAMEHE NA DEO UWASEMEHE UKUPENDA KUUNGUA DEO LEO TUNATUMIA DNA.KUKUTAMBUA.LUGALO

Mkuu, Aina Hii Ya Watu Kumbuka Unakutana Nao Toka Ukiwa Primary....Umejisahau,!!
 
Deo Filikunjombe aliwahi kufanya kazi World Vision,lile shirika la Jesuits? Well,I hope hakugombana nao. Wale jamaa ni very nasty characters. Nimeandika katika posting mojawapo jinsi World Vision walivyopeleka AIDS Haiti. AIDS maana yake Ukimwi.
 
RIP Jembe aka Deo Fulikunjombe
RIP Captain Slaa
Poleni wote tulioguswa na Misiba hii,


 
aisee kuna newz kuwa kuna ajari ya Gari imetokea huko iringa.ni ya kampeni ya ccm.
 
kwaheri Deo,kwaheri member mwenzetu jf.Ishu moja watz mnielewe,kuna jambo kubwa sana linatokea na linaendelea kutokea nchini,and it's more spiritual...

Fafanua mkuu utufungue wengine.
 
Deo Filikunjombe aliwahi kufanya kazi World Vision,lile shirika la Jesuits? Well,I hope hakugombana nao. Wale jamaa ni very nasty characters. Nimeandika katika posting mojawapo jinsi World Vision walivyopeleka AIDS Haiti. AIDS maana yake Ukimwi.

World Vision ni ya JESUITS..!!!!!!
 
Ludewa kuna nuksi mpaka sasa wabunge waliofia madarakani ni4, waliohai ni3 tu cjui kwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…