TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Duh!! Ndege imeanguka saa 11 jioni na wahanga wamefikiwa kesho yake saa 8 mchana!? Yaani hata hiyo ndege isinge lipuka Bado wangekufa tu, kama wange pona na wakawa na majeraha mabaya kwa muda woote huo bila huduma ya kwanza nadhani fisi na mbwa mwitu nakuvuja damu bado vingekuwa visababishi vya vifo vyao. Kitengo cha uokozi na dharura hapa Tanzania ni kama kimekufa tu.

mkuu yaan nasema kabisa taifa hili upande wa huduma za kijamii ziko chini sana.

Kwanza ule msitu ni mkubwa sana, vilevile barabara za mle znavikwazo vingi.

Jambo la kufanya ilitakiwa chopa ndio ifanye kazi lakn tanzania hii shuguli zote zinategemea chopa ya polisi tu. Wakat ilibid kila mkoa uwe na chopa hata mbili. Kama ajali livyotokea saa 11 ilibidi chopa ya morogoro ndio zifanye kaz kwa mda huo. Yaan wale wahanga hawakuwa na namna ya kupona hata kama ndege isingeripuka
 
Majeneza matatu ya ndugu
attachment.php
Naomba tufafanulieni jamani
mbona hakieleweki kuna taarifa kuwa miili ya Marehemu ipo Lugalo kwa ajili ya kutambua DNA za hao watu watatu waliopata ajali ya Helkopta akiwemo Deo Filikunjombe, Runani Slaa na mwingine
huku tunaoneshwa msafara kwingine majeneza la la Marehemu likiwepo pamoja na Nduguye
12112106_889630877781599_6200862465683832618_n.jpg

Which is which Deo alikuwa na Kaka yake au abiria wa Helkopta walikuwa zaidi ya wanne?
RIP ndigi zangu wote mliokutwa na ajali ya Helkopta
 
Naomba tufafanulieni jamani
mbona hakieleweki kuna taarifa kuwa miili ya Marehemu ipo Lugalo kwa ajili ya kutambua DNA za hao watu watatu waliopata ajali ya Helkopta akiwemo Deo Filikunjombe, Runani Slaa na mwingine
huku tunaoneshwa msafara kwingine majeneza la la Marehemu likiwepo pamoja na Nduguye
12112106_889630877781599_6200862465683832618_n.jpg

Which is which Deo alikuwa na Kaka yake au abiria wa Helkopta walikuwa zaidi ya wanne?
RIP ndigi zangu wote mliokutwa na ajali ya Helkopta

Katika msafara walikua watu wannee...rubani slaa...deo na jamaa wa deo wawili waitwao plasdius.haule na egid nkwera...na unaambiwa huyo nkwera aliomba tu lift ya chopa wkt haule ni ndg wa karibu kbsa wa deo ambaye huwa na deo kila sehem ktk shughuli zake za siasa...maiti tatu zote zilienda kijichi na kusafiri baadae kwenda ludewa..ya mzee slaa sina taarifa msiba ulikua wapi
 
Katika msafara walikua watu wannee...rubani slaa...deo na jamaa wa deo wawili waitwao plasdius.haule na egid nkwera...na unaambiwa huyo nkwera aliomba tu lift ya chopa wkt haule ni ndg wa karibu kbsa wa deo ambaye huwa na deo kila sehem ktk shughuli zake za siasa...maiti tatu zote zilienda kijichi na kusafiri baadae kwenda ludewa..ya mzee slaa sina taarifa msiba ulikua wapi
tofali nashukuru sana kwa taarifa kamili na sahihi hasa maana sisi wengine tupo mbali kuzipata taarifa km hizo mpaka JF na ninyi Member
sasa ndio nafunguka
Lukwangule blog Aidha watu wa anga walithibitisha kwamba Kapteni William Silaa na abiria wake watatu, Deo Filikunjombe, Kasablanka Haule na Egid Mkwela waliondoka Dar , uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNIA saa 9.57 jioni na kutarajiwa kuingia Njombe saa 12 jion
Tanzia! Filikunjombe aaga dunia - wavuti
 
Kwanini hilo Taifa likampandisha chopa ?....Neno TAIFA kwa wamalawi ni km ugaidi...TAIFAS ni washika watumwa , wamamizi na wauaji kutoka mbali kupitia ktk pwani,fuko na ardhi ya Tanganyika....ndio hicho unamaanisha kinamhitaji huyo jamaa?

Taifa ni neno la kiarabu linalomaanisha ''nation''. Hao wamalawi walilishwa propaganda za chuki na Dk. Banda ,kibaraka wa makaburu.Banda na Nyerere hawakuelewana kabisa. Wakati wa utumwa hapakuwepo kitu ''Taifa''. Tanganyika was a colony na pwani ilikuwa under the Sultanate of Zanzibar. Achana na wa Malawi they are the most backward people in Africa.
 
I can't imagine sura ilivyokushuka baada ya kuhakikishiwa kuwa its true. R.I.P Deo filijunjombe

UTAKUWA UNA SURA NA ROHO MBAYA! NDIO MAANA MGOMBEA WENU PUMZI ZIMEKATIKA.....pamoja na kuwa na pete kutoka NIGERIA...... Comrade DEO spirit is still alive!
 
Haya ndio madhara ya Chopa za 10% , CCM kila kitu kwa ni kupiga dili hata kwenye maisha yao wenyewe.

RIP Deo Mungu akuweke mahala pema, wewe ndio ulikuwa mpiganaji wa ukweli ndani ya CCM. Daima tutakukumbuka kwa mchango wako katika Taifa letu. Tunakushukuru kwa uzalendo wako na hatutokusahau ndani ya mioyo yetu

Second Hand - MADE IN CHINA Local Manufacturer like wanaotengeneza Mabasi yaendayo kwa kasi... hadi leo tokea washtukiwe hqwajaongeza hata MOJA...

Serikali ya CCM hiyo na bado inataka kutuongoza tena....
 
Hivi jeshi la polisi huwa halina stretcher, wanabebwa kwenye machela za miti!
 
mkuu yaan nasema kabisa taifa hili upande wa huduma za kijamii ziko chini sana.

Kwanza ule msitu ni mkubwa sana, vilevile barabara za mle znavikwazo vingi.

Jambo la kufanya ilitakiwa chopa ndio ifanye kazi lakn tanzania hii shuguli zote zinategemea chopa ya polisi tu. Wakat ilibid kila mkoa uwe na chopa hata mbili. Kama ajali livyotokea saa 11 ilibidi chopa ya morogoro ndio zifanye kaz kwa mda huo. Yaan wale wahanga hawakuwa na namna ya kupona hata kama ndege isingeripuka

Ukiwapa chopa mbili ktk mkoa, usishangae zikatumika kumpeleka mkuu wa mkoa na familia yake likizo. Tunao ulimbukeni mkubwa sana unaosababishwa na ubora duni wa viongozi.

hii ndiyo gharama ya kuiba wajitajilishe kwa kuamini watakuwa na maisha bora, NO! Ubora huu wa maisha hata uwe na bilioni mia moja bado we ni vulnerable tu!
 
Taifa ni neno la kiarabu linalomaanisha ''nation''. Hao wamalawi walilishwa propaganda za chuki na Dk. Banda ,kibaraka wa makaburu.Banda na Nyerere hawakuelewana kabisa. Wakati wa utumwa hapakuwepo kitu ''Taifa''. Tanganyika was a colony na pwani ilikuwa under the Sultanate of Zanzibar. Achana na wa Malawi they are the most backward people in Africa.
Najua..na wao wanajua...na wanawajua wauza watumwa waliokuwa wakiwashika km wanyama wetu wanavyokamatwa porini leo..Tukiacha unafiki tutafikiri vizuri.CCM huwa na logic km yako..haki za binadamu kwa wengine huwa haziwahuus sana.Pengine ukiwa unawajua waarabu mipaka ya nchi km taifa ni pale wengine wanapokuja kwao au kufaidika kwao ila km hakuna tishio kwao. Kwa wengine waarabu hawana wala hawapendi mipaka..
 
Ee Mungu uwapokee watumishi wako hawa, nimesikitika na kuhuzunika sana juu ya vifo vya ndugu zetu wanne Capt. William Silaa, Egid Mkwera, Casablanca Haule na Deo Filikunjombe, mlikuwa zawadi kwetu katika mapambano na tuliwapenda sana lakini mauti imewachukua tunalia na machozi yetu hakuna wa kuyafuta, Kamanda Filikunjombe tutakukumbuka sana kama makamu m/kiti wa PAC hasa kwenye sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, nikiangalia picha za watoto na mjane machozi yananitoka, Mungu awapumzishe mahali pema peponi amen
 
Hivi wameshazika? Mwenye picha ya mazishi aweke hapa.
Mwenyezi Mungu akupumzishe kwa amani Deo.
 
Watumishi wa umma wanaruhusiwa kujihusisha na masuala ya kisiasa ikiwemo kupanda katika majukwaa ya kisuasa na kuwa mwanachama wa chama cha siasa isipokuwa shughuli hizo za kisiasa hatatakiwa kuzifanya mahali pa kazi na katika muda wa kazi. Sasa yawezekana huyo mtumishi wa umma ana likizo au yupo kazini lakini alifanya mambo hayo baada ya saa za kazi
Kuna mtumishi (Mwalimu) alipanda kwenye Jukwaa siku Lowassa aliyokwenda nyumbani kwa Mr Wine,jamaa aliongelea kero za walimu katika jimbo hilo,gazeti la wiki mbili zilizopita la mwananchi limeripoti kwamba yule mwalim ameitwa kuhojiwa kwa kujihusisha na siasa.Soma link hiyo
https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...VJX4n83b7yhSyA_kQ&sig2=SGpYaHWf9lkdVdvvG4lO7w
http://www.yuvinusm.co.tz/2015/10/mwenyekiti-wa-chama-cha-walimu-cwt.html
 
Back
Top Bottom