TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Naam, kama waliweza kujenga shule kila kata, madawati yanawashinda nini? Fikiri.

Si kila kitu kungja kufanyiwa kama maiti.

Njoo kijijini kwetu ujionee, hakuna mwanafunzi asiye na dawati na kiti na hakuna chumba kimoja cha darasa kusoma zaidi ya watoto 45. Na hatukungoja Serikali, Serikali inatuletea walimu tu na kila Mwalim akija hataki kuondoka kwani tunampa eka mbili za kulima na tunamsaidia kulima, kupalilia na kuvuna na faida ni yake.

Hakuna Mwalimu asiye na nyumba ya kuishi kijijini kwetu na samani zote za ndani tunamchangia.

Lakini zote zina "inventory" anakabidhiwa rasmi ni mali ya kijiji na akiondoka anawacha vyote anaondoka na yake tu. Shamba ni lake lakini ardhi ni ya kijiji ili asiuze.

Hatungoji serikali, sisi siyo maiti.

= kungoja; mwalimu:smile:
 
filikunjombe aliongoza mazishi ya mtikila kwa mbwembwe za helkopta,kweli hakujua kama NA yeye alikuwa anahesabu wiki chache arudishe namba aliyoisoma
 
Siasa za CDM hakuna mtu yeyote anaetumia kichwa chake makini na sawasawa anawaunga mkono.Hakuna mtu makini yeyote anayependa SIASA ZA CHUKI KALI,KUITANA MAJINA FISIEM,FUJO,VURUGU NA ZOMEAZOMEA.Hayupo.Hilo kundi usemalo ni watu wachache sana na tena wengine hata VITAMBULISHO Hawana.FANYENI SIASA ZA HOJA,CHUKI HAZIJENGI.Mwl JK Nyerere alipata UHURU WA NCHI HII KWA HOJA SIYO VURUGU,FUJO,ZOWEAZOMEA NA MAANDAMANO.#R.I.PDeoFilikunjombe Tumepoteza mpambanaji

Ila watu makini kwako ni wale: Wanaotuita Wapumbavu na Malofa.
Wanaomuita mgombea wetu
Maiti inayotembea, Jeneza linalotembea na mengine mengi ya dhihaka si ndio.
 
Helikopter ilikataa kuruka,badala ya kucheck tecnic failure ikalazimishwa kuruka.only in Bongo
 
R.I.P Deo..
Inauma sana ameondoka mapema sana alikuwa mstar wa mbele kutetea watanzania

May his soul rest in eternal peace.
Amen.
 
MayTheir Souls Rest in Peace. Poleni wafiwa wote na wale walioguswa na misiba hii.
 
it's very sad for you to go,becouse we love you so much but our God the creater of everything olso loves you than us! i pray for you to be rest in peace!!
 
Inauma sana.....nilikuwa namuona angekuwa mtu mkubwa sana baadae haswa katika medani za siasa nchini.
 
makamba mnamuonea bure enyi watu,,,yeye alikua anafuata ripoti ya ITV waliotangaza kuwa filikunjombe yuko salama...makamba nadhani kwa kuaimini itv,alidhani itv wamestablish contact na deo....sasa hapa anaepaswa kulaumiwa ni itv
Taarifa ya makamba ilitolewa kabla ya ile ya ITV.
Hii ajali sii ishara nzuri kwa maandalizi na chaguzi ujao kwa ujumla. kwa kuwa hekima haisomewi darasani na busara haziuzwi dukani, basi hizo mbili zinapaswa kuushinda ushetani wowote kwenye nafsi za wenye dhamana na uchaguzi mkuu 25 oct.
marehemu Deo nitamkumbuka kwa usemi wake maarufu "KWENYE UKWELI TUSEME" akichangia hoja bungeni.
"kifo hakina huruma" by Ramadhani Mtoro Ongala A.K.A Dr. Remmy.
 
Rest In Peace

Deo Filikunjombe na wote mliopoteza maisha katika ajali
 
TE=babukijana;14354453]Helikopter ilikataa kuruka,badala ya kucheck tecnic failure ikalazimishwa kuruka.only in Bongo[/QUOTE]

That's right. Only in bongo. Halafu tunasema"Mapenzi ya Mungu". Siku ipo Mungu atakanusha!
 
makamba mnamuonea bure enyi watu,,,yeye alikua anafuata ripoti ya ITV waliotangaza kuwa filikunjombe yuko salama...makamba nadhani kwa kuaimini itv,alidhani itv wamestablish contact na deo....sasa hapa anaepaswa kulaumiwa ni itv
Hata kama angesikia CNN au BBC bado ilimlazimu ajiridhishe kwanza kabla ya kukurupuka na kuleta propaganda za kijinga.
 
R.I.P DEO kuna siku bungeni akichangia alisema nyinyi CCM msidhani mtatawala milele mtaondoka tu.. Duu so sad.
 
Back
Top Bottom