TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Mungu kamchukua F.kama alivyomleta kama unamlaumu Mungu kwa kumchukua umlaumu pia na kwa kumleta.
 
Msimzingizie Mungu...sisi waafrica tupo careless sana hatuna tamaduni ya kufuata sheria za usalama ..ajali ikitokea tunamsingizia Mungu. Mfano unakuta kuna hitilafu katika gari unamsikia dereva anasema si litafika tuu twende.
 
Mimi ukawa lakini Deo Filikunjombe ndiyo nyota pekee iliyobaki kuwa inang'aa katika Giza Nene la uozo na uchafu wa chama cha magamba!
 
Ni kiongozi tulimuitaji katika kipindi hiki si kwa upande wa jimbo lake bali taifa kwa ujumla, alikuwa kiongozi hasiyejiona, aliyeishi maisha ya kitanzania, mchapa kazi, mwadirifu,mtu aliyeamini maendeleo ya jimbo lake ni watu kufanya kazi,aliwapenda watu wote bila kujali,vyama vyao vya siasa,alikuwa tayari kufanya kazi usiku mchana jua na mvua kuwaletea maendeleo wananchi wa tanzania,alichukia wizi na ufisadi na hakupenda makudi,

mungu haujatutendea haki kabisa katika kipindi ambacho taifa letu linaitaji viongozi wa namna hii kwa faida ya watanzania wote,
mungu akupumzishe mahali pema peponi

amina,

Unamlaumu kwanza mungu alafu unamuomba amuweke marehemu peponi. KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA
 
Nakuhakikishia Mungu ni mwema sana àkifanya kitu it is perfect.

Ilashida kubwa vingine sio yeye ni shetani akishirikiana na wanadamu
 
we unakufuru sana ulitaka afe nani ww au baba yako,mtu kuna ubaya gani kuchuma ua lake au kuvuna ndizi shambani kwake kama anaona inafaa hivyo,sis ni maua ,futa kauli yako
 
taahira wewe ....mungu ni mkuu afanyalo ni la haki... yeye ametoa na yeye ametwaa jina la bwana libarikiwe...
 
Ni kiongozi tulimuitaji katika kipindi hiki si kwa upande wa jimbo lake bali taifa kwa ujumla, alikuwa kiongozi hasiyejiona, aliyeishi maisha ya kitanzania, mchapa kazi, mwadirifu,mtu aliyeamini maendeleo ya jimbo lake ni watu kufanya kazi,aliwapenda watu wote bila kujali,vyama vyao vya siasa,alikuwa tayari kufanya kazi usiku mchana jua na mvua kuwaletea maendeleo wananchi wa tanzania,alichukia wizi na ufisadi na hakupenda makudi,

mungu haujatutendea haki kabisa katika kipindi ambacho taifa letu linaitaji viongozi wa namna hii kwa faida ya watanzania wote,
mungu akupumzishe mahali pema peponi

amina,

Alafu anawaacha akina asumpta mshana😅😅😅😅
 
Ludewa ni nyumbani na Deo alikuwa mbunge wangu nimeumia sana lakini bado naamini Mungu hajatuacha na Mungu hana upendeleo jina la Bwana libarikiwe.
 
Really,I can't believe!tumepoteza mtu,tumepoteza Sokoine mwingine,tumepoteza Nyerere mwingine,jembe alikuwa hana chama kwenye maswala ya kitaifa.Pumzika kwa amani kaka kwa matumaini makubwa kuwa ufufuo upo!
 
Ni kiongozi tulimuitaji katika kipindi hiki si kwa upande wa jimbo lake bali taifa kwa ujumla, alikuwa kiongozi hasiyejiona, aliyeishi maisha ya kitanzania, mchapa kazi, mwadirifu,mtu aliyeamini maendeleo ya jimbo lake ni watu kufanya kazi,aliwapenda watu wote bila kujali,vyama vyao vya siasa,alikuwa tayari kufanya kazi usiku mchana jua na mvua kuwaletea maendeleo wananchi wa tanzania,alichukia wizi na ufisadi na hakupenda makudi,

mungu haujatutendea haki kabisa katika kipindi ambacho taifa letu linaitaji viongozi wa namna hii kwa faida ya watanzania wote,
mungu akupumzishe mahali pema peponi

amina,

Ukome kabisa.
Hii ni kufuru.
Una bahati mie sio mod. Ungenitambua
 
Back
Top Bottom