TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$€#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........
Preta umesahau tabia za baba yake? Mzee Makamba aka Pwagu? Huyu mtoto ni kachukua tabia karibu zote za yule mzee, like father like son yaani ni full kuropoka katika kutafuta sifa. Hapa anachofanya sasa hivi nikutafuta umaarufu kwa nguvu ili jina lake liwe linangaa ili baada ya uchaguzi lolote litokee!
 
Last edited by a moderator:
Mi mpaka sasa sielewi wale wengine wawili walikuwa akina nani,hawa watu wa anga wanakomalia taratibu kwa chopa za CHADEMA tu za CCM ni untouchable,walaaniwe maana wangeweza hata kuokoa maisha ya wenzetu

Kichwa maji kabisa wewe eti chadema wewe vipi?
 
ImageUploadedByJamiiForums1445060395.739666.jpgImageUploadedByJamiiForums1445060416.490716.jpgImageUploadedByJamiiForums1445060433.675831.jpgView attachment 299733View attachment 299734

Serikali ya CCM imeshindwa kila kona barabara, majini na angani. Helicopters hizi ni mbovu.hii ni ajali ya helicopters 3 ndani ya miaka miwili thanx God hizi Mbili hazikuua.
 
Mkuu zile zilikuwa habar tata sana, kwanza ndege iliangukia katkat ya mbuga, hivyo hakuna aliyekuwa na uhakika kwasababu hapakuwa na msaada wowote mpaka ilipofika jana saa8 kasoro za mchana.

Kwanza ilikuwa bahati tu mzungu mmoja mtalii ndiye aliiona helkopta ikipita na baadae akaona mlipuko mkubwa ndio akasaidi kutoa direction ya eneo hilo lakn hata hvyo haikuwa rahisi kufika lile eneo kwa gari isipokuwa kwa chopa tu.

Ndio maana mpaka jana mchana hakuna aliyekuwa na taarifa za uhakika juu ya uwepo wa majeruhi au vifo.

Kama hauna taarifa za tukio mtu anakimbilia tweeter kukanusha nini na kujitetea chopa za Ccm ziko Salama na yeye ndie aliyezikodi
Si ilitosha tu kusema taarifa tumezipata na tunazifuatilia
 
Mi mpaka sasa sielewi wale wengine wawili walikuwa akina nani,hawa watu wa anga wanakomalia taratibu kwa chopa za CHADEMA tu za CCM ni untouchable,walaaniwe maana wangeweza hata kuokoa maisha ya wenzetu

Tena wakomalie hapo hapo........ndio usalama wetu........hao wanaonyanyua simu moja tu na chopa inanyanyuka......watajimaliza wenyewe.......
TCAA ni shirika linalofanya kazi yao kwa uadilifu sana........ndio maana hatuna ajali nyingi za ndege nchini........
 
hivi vyombo vinaawakataa ccm , vimewachoka, R.I.P Deo… imekufanya hivo kwa sababu ulikuwa na mahaba na ccm.. mbona Joshua Nasar hakumrestisha in piece…
 
Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$€#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........

mkuu lile eneo hakuna mtandao wowote unaopatkana hata call sign za radio call zinasumbua' pale msaada ilikuwa ni GPS tu. Hata hvyo kwa gari hakupitiki ni helkopita tu ndio imesaidi kufika eneo la tukio
 
Hivi huko barabarani mnakokunywa viroba na kuamua kuendesha huku abiria wakishangilia huwa mnatumwa na serikali? Hivi madereva wanapopeana ishara za kupunguza mwendo eneo lenye trafiki police hivi huwa mnatumwa na serikali? Kifo chako mara ingine ni urefu wa ujinga wetu
 
Kama hauna taarifa za tukio mtu anakimbilia tweeter kukanusha nini na kujitetea chopa za Ccm ziko Salama na yeye ndie aliyezikodi
Si ilitosha tu kusema taarifa tumezipata na tunazifuatilia

mkuu hata mm sikujua kwann watu walitoa taarifa kuwa waliokuwemo kwenye ndege n wazma kumbe wamefariki.
Nilijiuliza maswali mengi sana
 
Hivi huko barabarani mnakokunywa viroba na kuamua kuendesha huku abiria wakishangilia huwa mnatumwa na serikali? Hivi madereva wanapopeana ishara za kupunguza mwendo eneo lenye trafiki police hivi huwa mnatumwa na serikali? Kifo chako mara ingine ni urefu wa ujinga wetu

...mammy helkopta zenu mbovu.! 10% itawapukutisha magamba mpaka mkome..
 
Tena wakomalie hapo hapo........ndio usalama wetu........hao wanaonyanyua simu moja tu na chopa inanyanyuka......watajimaliza wenyewe.......
TCAA ni shirika linalofanya kazi yao kwa uadilifu sana........ndio maana hatuna ajali nyingi za ndege nchini........

Hatuna ajali nyingi za ndege nchini!!! ndege zenyewe tunazo ngapi???
 
mkuu lile eneo hakuna mtandao wowote unaopatkana hata call sign za radio call zinasumbua' pale msaada ilikuwa ni GPS tu. Hata hvyo kwa gari hakupitiki ni helkopita tu ndio imesaidi kufika eneo la tukio

Hilo ni sawa.......tunachojiuliza hapa....ni kwa nini alikana kuwa hakuna chopa yao iliyoruka.......zote zipo salama..........?......
huo mkurupuko wa kutoa taarifa bila usahihi kwa waziri wa mawasiliano......ndio unaotutatanisha..........
kwanza TCRA wapo wapi......?.......
 
Mkuu zile zilikuwa habar tata sana, kwanza ndege iliangukia katkat ya mbuga, hivyo hakuna aliyekuwa na uhakika kwasababu hapakuwa na msaada wowote mpaka ilipofika jana saa8 kasoro za mchana.

Kwanza ilikuwa bahati tu mzungu mmoja mtalii ndiye aliiona helkopta ikipita na baadae akaona mlipuko mkubwa ndio akasaidi kutoa direction ya eneo hilo lakn hata hvyo haikuwa rahisi kufika lile eneo kwa gari isipokuwa kwa chopa tu.

Ndio maana mpaka jana mchana hakuna aliyekuwa na taarifa za uhakika juu ya uwepo wa majeruhi au vifo.
Duh!! Ndege imeanguka saa 11 jioni na wahanga wamefikiwa kesho yake saa 8 mchana!? Yaani hata hiyo ndege isinge lipuka Bado wangekufa tu, kama wange pona na wakawa na majeraha mabaya kwa muda woote huo bila huduma ya kwanza nadhani fisi na mbwa mwitu nakuvuja damu bado vingekuwa visababishi vya vifo vyao. Kitengo cha uokozi na dharura hapa Tanzania ni kama kimekufa tu.
 
Wamezitoa wapi hizo chopa....maana ccm kwa kuungaunga ni balaa...hata kwenye vitu sensitive
 
Back
Top Bottom