Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Preta umesahau tabia za baba yake? Mzee Makamba aka Pwagu? Huyu mtoto ni kachukua tabia karibu zote za yule mzee, like father like son yaani ni full kuropoka katika kutafuta sifa. Hapa anachofanya sasa hivi nikutafuta umaarufu kwa nguvu ili jina lake liwe linangaa ili baada ya uchaguzi lolote litokee!Kukurupuka tu.......ilikuwa rahisi sana.......angepiga simu tower ya ilipoondokea......then aulize.........wangemwambia.......akiwa kama waziri wa mawasiliano.......alitakiwa achukue hatua hiyo mwanzo........
sasa mtu unakurupuka kutokea from nowhere........unakana kuwa ndege zetu zote zipo salama........au ilikuwa ni dhambi kwa hiyo chopa kuruka.......?.......kukana kwao inawezekana ndiko kulikosababisha wapendwa wetu kukosa msaada mapema........&$#¥o kabisa.....
watu wengine wanaboa sana........
Last edited by a moderator:


