Helkopta ndio "imetonesha" majeraha ya Lissu? Namshauri ashughulikie afya yake, asifanye Urais jambo la dharura kwake


Sisi wewe ulivyo ulivyo punguani hivyo, unategemea kuna mtu wa kupoteza muda wake kwa maandiko yako haya ya kijinga?

Very sorry for you brain crippled old woman.
 
Sisi wewe ulivyo ulivyo punguani hivyo, unategemea kuna mtu wa kupoteza muda wake kwa maandiko yako haya ya kijinga?

Very sorry for you brain crippled old woman.
Yasingekuingia usingejibu.

Ukisikia puu, ujuwe limempata.
 
Inawezekana.... inawezekana... inawezekana.!!
 
Siyo wametingana na mwenyekiti ndani ya chopper
 
Ndio cheo kitakachomfaa lissu,au awe wa wilaya ili afanye kuwa anapanda taratibu
 
Wewe usijifanye jina lako ni hilo wewe in chiembe ondoa chi weka n tu! Na sasa kanakuwasha washa!
 
Wewe kapuku achana na Chadema, unajua tukiacha Wajinga kama nyie mkaendelea kuleta ujinga wenu humu wote tutaonekana Wapumbavu.

Nani kaukuambia huo upuuzi wako? Lissu alishafafanua humu kuhusu huo uzandiki wenu mbona bado mnazusha tu?
Siku nikichukua kadi ya ccm ,nikateni kichwa ,aya ni maneno yangu yaliyo hai sio kama msigwa
 
Kesho yupo Kisongo Arusha!
Njoo na madktari
 
Lisu siyo raia wa Tanzania, kwa hiyo hata tusipomwona hatushangai!
Ila kwa kuwa afya yake ni mgogoro mgogoro, basi ushauri wako ni mzuri kwake
 
Kampeni zipi
 
Daah aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…