Hello. A little help here

Hello. A little help here

Vuka mpaka kihalali wewe ukija huku ukakamatwa utasema tena ni majini ndio yamesababisha udakwe, na hivi tuna msala wa panyaroad mbona utajuta.
 
Vuka mpaka kihalali wewe ukija huku ukakamatwa utasema tena ni majini ndio yamesababisha udakwe, na hivi tuna msala wa panyaroad mbona utajuta.
Itakua pesa ngapi. Niko na stress banaa. Nasumbuliwa kufanya kazi, hela zaendelea kupungua ju ya mahitaji
 
Vuka mpaka kihalali wewe ukija huku ukakamatwa utasema tena ni majini ndio yamesababisha udakwe, na hivi tuna msala wa panyaroad mbona utajuta.
Heh, nilielewa vibaya, sasa kumbe panyaroad ni vijana wahalifu
 
Back
Top Bottom