Thuso akutafute wewe 🤣🤣🤣🤣 acha basiDaaah ujue toka juzi kuna huyu mdada ana nisumbua sana ... Anaitwa THUso mbedu (Nawi)
View attachment 3177427
Sijaelewa what she is want to me..
Anatuma sana text...
But pearl watts muache kwanza naona kshaanza kushoboka kwa mauric sam
Kanikera mnooo
Mmmmh mashangazi yanakunywa tuu..We baki na mishangazi yako, huyo mtoto utamchosha tu....
Sema unaweza kubisha kwa kuwa ujanijua mkuu...Thuso akutafute wewe 🤣🤣🤣🤣 acha basi
Mimi mwenyewe hata nibaki na wanawake wa kisabato pekee duniani siwezi kuoa, bora mwislamu.Nimeshangaa hii namba 6!
Kuwa mmsabato hapana! Kwani hii inahusiana vipi na ndoa
🤣Jamani Sabbaths wana shida gani tuambizaneMimi mwenyewe hata nibaki na wanawake wa kisabato pekee duniani siwezi kuoa, bora mwislamu.
Siku hizi hatupiki makande bwana🤣Itakua hataki kupika makande.....
Naruhusiwa kurushwa ndoano? Niko divorcedWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Hapo sifa sinaWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Kukusaidia,toa hicho kigezo no.5,jua limeshakuchwa,kwa miaka 32 tayari umechelewa...Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Ni mnyakyusa nn wewe?Pole..mimi siwezi kuwa na mwanamumr aniliyemzidi umri
Muombe akuvumiie mpaka 2026 utakuwa umefikisha 35Umri tatizo tuu nina 33
Unasikitisha mdogo wangu, watakuua hao we hayaMmmmh mashangazi yanakunywa tuu..
Kama hapa sasa hvi yupo chakali na hivyo simba kashinda daah leo kuna hatar ya mtu kurudi sa nane
Unaposema mrefu kuanzia cm ngapi?Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Una kipato kumbe?Ngoja nije nile hela zako hizo,unileeWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Umeongea point Doctor.Unauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Hahahah anajua sana tena nikinyonya nakuwa nanfuraha muamala kwake unasomaMamako anajua kwamba hujamaliza kunyonya 🤣🤣🤣🤣
Ah shauri yako utaishia kuja kuomba anayepumua tuuNdio ila wewe hapanaaa nisikuone pm kwangu