Wewe akili yako sidhani kama inafanya kazi sawasawaSawa nakuja DM,tuone namna gani hiyo nyash tunaitumia ipasavyo
Mnahangaika na Warefu,, mwataka wakuwatungulia maembe au.Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Bila shaka utakuwa na sababu maalum kwa upande wako.Mimi mwenyewe hata nibaki na wanawake wa kisabato pekee duniani siwezi kuoa, bora mwislamu.
Kila mtu ana kipaumbele chake. Ukute alipambania shule na kazi kwanza kabla ya kuwaza ndoa32?... Lakini utapata, haya mambo ni magumu kiasi hicho?...
Namba 5. Weusi kiasi gani?Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Wanawake ni watu wa kuchagua chagua sana, wanaweza set standards zao, ila atachagua sana......kigezo kimoja ukimiss kwake umekataliwa.Ningekuwa mwanamke mimi na nimeshakwama,aah isingekuwa kazi kusimamisha mwanaume njiani na kumchukua maelezo chap kuona kama anafaa kusogeza maisha.
Sasa humu fake IDs tupu utajuaje kama mtu ni smart au siyo smart,bora unayemuona kwa macho huyo huyo sema nae na mbona wanaume sisi tunatongozeka kirahisi tu,shida dada zetu hamtaki kuchukua hatua.
Kweli labda aina za kina Ginimbi ambao wanamali za maagano.....Siwaharibii Mkuu, hamna mwanaume Muoaji, ambaye utakuta ana Maisha yake vizuri tu na Afya njema, Et Sasa anamiaka 40 ndo anataka kuoa .
Kuna Tatizo lazima.
Kwani huko ulikozaliwa au kukulia. hakuna watu hadi uwatafute kwenye mitandao ya kijamii au unawaongopa kwa vile wanajua mazabe yako? Mpaka umri huo ulikuwa unafanya/unangoja nini? Ujana ulimalizia wapi utafute mtu wa kuangushia uzee? Nauliza tu mwanangu.Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Just read and don't judgeKwani huko ulikozaliwa au kukulia. hakuna watu hadi uwatafute kwenye mitandao ya kijamii au unawaongopa kwa vile wanajua mazabe yako? Mpaka umri huo ulikuwa unafanya/unangoja nini? Ujana ulimalizia wapi utafute mtu wa kuangushia uzee? Nauliza tu mwanangu.
🤣🤣🤣🤣🤣 Wee mbona wamsagia kunguni mrembo financial servicesMambo ambayo hautakiwi kuyapa kipaumbele ni haya
Kabila
Elimu
Dini
We tafuta MTU smart anayejitambua hiyo inatosha Sana.
Tofauti na hapo utapata MTU asiyeeleweka.
Then wewe ni financial services umekuja na I'd mpya kutafuta Mwanaume.
Nananonekana ana miguu mirefu alafu sexyKigezo cha akili timamu,umri na kipato vimenikosesha huyu mtoto,ila huyu dada ni pisi kweli