Hello future Hubby

Hello future Hubby

Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Mnahangaika na Warefu,, mwataka wakuwatungulia maembe au.
 
Mimi mwenyewe hata nibaki na wanawake wa kisabato pekee duniani siwezi kuoa, bora mwislamu.
Bila shaka utakuwa na sababu maalum kwa upande wako.
Inaamaana hapa tunaongelea athari za itikadi za kiimani ama nafasi kila mmoja katika kumpata mwenza anayefaa kwa ajili ya maisha
 
$TATA'z inatesa wengi!
kila mtu anataka TITLE kubwa,
ili apate ULAJI Mjini,
apewe MIVYEO classic.
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Namba 5. Weusi kiasi gani?

Halafu miaka 35 si naruhusiwa kuja na wanangu?
 
Ningekuwa mwanamke mimi na nimeshakwama,aah isingekuwa kazi kusimamisha mwanaume njiani na kumchukua maelezo chap kuona kama anafaa kusogeza maisha.

Sasa humu fake IDs tupu utajuaje kama mtu ni smart au siyo smart,bora unayemuona kwa macho huyo huyo sema nae na mbona wanaume sisi tunatongozeka kirahisi tu,shida dada zetu hamtaki kuchukua hatua.
Wanawake ni watu wa kuchagua chagua sana, wanaweza set standards zao, ila atachagua sana......kigezo kimoja ukimiss kwake umekataliwa.

Mwisho wa siku ninge ninge zinakuwa nyingi.
 
Siwaharibii Mkuu, hamna mwanaume Muoaji, ambaye utakuta ana Maisha yake vizuri tu na Afya njema, Et Sasa anamiaka 40 ndo anataka kuoa .

Kuna Tatizo lazima.
Kweli labda aina za kina Ginimbi ambao wanamali za maagano.....
 
Wengine nyash hatuzingatii sana, titi lipo? Kama lipo Chap nitume CV yangu PM, mambo ya akili timamu utaijua tukiwa pamoja
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Kwani huko ulikozaliwa au kukulia. hakuna watu hadi uwatafute kwenye mitandao ya kijamii au unawaongopa kwa vile wanajua mazabe yako? Mpaka umri huo ulikuwa unafanya/unangoja nini? Ujana ulimalizia wapi utafute mtu wa kuangushia uzee? Nauliza tu mwanangu.
 
Kwani huko ulikozaliwa au kukulia. hakuna watu hadi uwatafute kwenye mitandao ya kijamii au unawaongopa kwa vile wanajua mazabe yako? Mpaka umri huo ulikuwa unafanya/unangoja nini? Ujana ulimalizia wapi utafute mtu wa kuangushia uzee? Nauliza tu mwanangu.
Just read and don't judge
 
Back
Top Bottom