Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Naona unawapambania vijana weupe kiongozi ππunatakiwa uchanganye rangi!.. we hutaki mwanga nyumbani kwako..?
Well said.Unauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Huo ni umario tuUnauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
nami nipo hivyohivyo so tusipojipambania hakuna wakutupambania..!πNaona unawapambania vijana weupe kiongozi ππ
@financial services mkuu ni mtu poa sana. Unampa arsists tu ila ndo hataki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wee mbona wamsagia kunguni mrembo financial services
Hapana mimi sio huyo uliyemtajaMambo ambayo hautakiwi kuyapa kipaumbele ni haya
Kabila
Elimu
Dini
We tafuta MTU smart anayejitambua hiyo inatosha Sana.
Tofauti na hapo utapata MTU asiyeeleweka.
Then wewe ni financial services umekuja na I'd mpya kutafuta Mwanaume.
Mkuu mzabzab beba chombo hiyoNananonekana ana miguu mirefu alafu sexy
Pisi imesimama hiyo ila sasa nilimuuliza yupo tayari kwenda kuishi seychelles naona anajifimiria bado labda analapenda bongo sanaMkuu mzabzab beba chombo hiyo
Aisee ππ mimi sina nyash sasa so siyo mleta uzi, huyu mkuu vipiππ€£π€£π€£π€£π€£ Wee mbona wamsagia kunguni mrembo financial services
Eeeh unakosaje nyash tena mrembo...ah wee itabidintufanye mpango nyash ipatikaneAisee ππ mimi sina nyash sasa so siyo mleta uzi, huyu mkuu vipiπ
[emoji23][emoji23][emoji23]Mhh sycheles umefika lini wewe si upo kibamba au
Kwa sisi tusiotumia nyash hili tangazo halituhusu.Nyash Imenifanya Niwe seriously na wew
Unatumia nyash mzee wa mbususu?Eeeh unakosaje nyash tena mrembo...ah wee itabidintufanye mpango nyash ipatikane
Kuna mwanaume asie tumia nyashUnatumia nyash mzee wa mbususu?
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Jau wasabato sio poaKwa hiyo wasabato tumekukosea nini mkuu! Usitufanyie hivyo...
Unamuonea,financial services ako na 31 right nowMambo ambayo hautakiwi kuyapa kipaumbele ni haya
Kabila
Elimu
Dini
We tafuta MTU smart anayejitambua hiyo inatosha Sana.
Tofauti na hapo utapata MTU asiyeeleweka.
Then wewe ni financial services umekuja na I'd mpya kutafuta Mwanaume.
Mwanamke yeyote Duniani hata akimzidi mwanaume wake kipato huwa anajisikia fahari sana kupewa pesa na mumewe ama kuhudumiwa na mumewe,kwa sababu mwanamke mentality yake imeundwa kuongozwa na mwanaumeUnaharibu sasaπππ. Sasa wewe si una kipato kinajitosheleza lakini.