Hello future Hubby

Hello future Hubby

Unauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.

Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??

Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.


Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.

Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.


Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.


Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Well said.
Akisoma akaelewa mtafutaji atabadili vigezo vyake. Maana mwanaume wa miaka 35+ aliyekamilika kuwa mume ni ngumu kumkuta single.
 
Unauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.

Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??

Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.


Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.

Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.


Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.


Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Huo ni umario tu
 
Mambo ambayo hautakiwi kuyapa kipaumbele ni haya

Kabila
Elimu
Dini

We tafuta MTU smart anayejitambua hiyo inatosha Sana.

Tofauti na hapo utapata MTU asiyeeleweka.

Then wewe ni financial services umekuja na I'd mpya kutafuta Mwanaume.
Hapana mimi sio huyo uliyemtaja
Na ushauri wkao umechelewa
 
Pisi imesimama hiyo ila sasa nilimuuliza yupo tayari kwenda kuishi seychelles naona anajifimiria bado labda analapenda bongo sana
Mhh sycheles umefika lini wewe si upo kibamba au
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi

"Nyashi ipo" mwisho wa kunukuu
 
Unaharibu sasa😂😂😂. Sasa wewe si una kipato kinajitosheleza lakini.
Mwanamke yeyote Duniani hata akimzidi mwanaume wake kipato huwa anajisikia fahari sana kupewa pesa na mumewe ama kuhudumiwa na mumewe,kwa sababu mwanamke mentality yake imeundwa kuongozwa na mwanaume
 
Back
Top Bottom