mwalimu_wa_IT
Member
- Nov 5, 2024
- 93
- 165
Nitumie picha yako PM ukiwa umevaa kanga labda ninaweza kushawishika.Utapata
Usituharibie mkuu, kila mmoja na mipango yakeUnauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Ndugu yanguKwanini umri unakua kigezo...
Wewe mtu kama ana kazi na ana uwezo wa kuhudumia what you need why uweke umri kama kigezo...
Sijapenda
Siwaharibii Mkuu, hamna mwanaume Muoaji, ambaye utakuta ana Maisha yake vizuri tu na Afya njema, Et Sasa anamiaka 40 ndo anataka kuoa .Usituharibie mkuu, kila mmoja na mipango yake
Mambo ya kupendana sana zama hizi hayafai.nitakupenda hadi utafurahi
Mkuu kashajua makosa yenye migogoro isiyo isha.Sishiki
Haha wanaume wajanja tunaijua hiyo🤣🤣🤣ishu sio mwanamke kuwa na kipato au kutokua na kipato, ishu ni mwanamke awe supportive.“Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha“ kwa hii point tu wewe anza kuandaa kamati ya sendoff .. mume unaye na ndoa unayo.
Mie Niko tayari, sifa zote ninazoWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Sio kila alichopitia fulani basi na mimi nitapitiaUnauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Watu wamevurugwa 🤣🤣 nzalendo Mzee wa kupambania The onlyMimi ni mume niliyetayari kuingiza dudu kwenye tundu lililo katikati ya nyash yako,...
Mbona pm zangu hujibu na nimekutext muda mrefu sanaSishiki