Ah mie napenda pisi za bongo tena huyu tall black beauty atakuwa mtamu na nyash kasema ipoSeychelles pazuri , msosi tu kule nasikia ndio bei, hujakamatia katoto ka huko bado Hadi uje kwa hizi za jf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah mie napenda pisi za bongo tena huyu tall black beauty atakuwa mtamu na nyash kasema ipoSeychelles pazuri , msosi tu kule nasikia ndio bei, hujakamatia katoto ka huko bado Hadi uje kwa hizi za jf
Hivi nyash yas huwa ina kazi gani, mie huwa sielewi kazi yakeAh mie napenda pisi za bongo tena huyu tall black beauty atakuwa mtamu na nyash kasema ipo
Dakika ya 94duuh kweli mambo yamebana
sisi 0 vs wao 0
Kwani matiti yana kazi gani?Hivi nyash yas huwa ina kazi gani, mie huwa sielewi kazi yake
Mkuu asante kwa kukazia, mimi pia nimejaribu kuwaza hayo japo anaona tunamsimanga.Unauhakika kabisa, Kuna Mwanaume kuanzia miaka 35++++ 45.
Yaan ana kazi yake, ana Hela yake, ana nguvu za kiume vizuri, ila ajabu Hana Mke ,Wala mchumba Wala Mpenzi Wala mtoto au watoto??
Au unasubiria Wanaume WAGANE ?. kweli kabisa upate jamaa anamiaka 40? Hana familia ?.
Wanawake, zingatieni sana suala la UMRI , unapoolewa namiaka 25 maana yake mumeo anamiaka 30-33.
Mwanaume anapokuja kukuoa katika umri huo wa miaka 25, acha mbwembwe, acha mambo mengi nakujiona bado Mdogo, una kula ujana.
Haya wee unamiaka 32, huna mtoto, Muweke wazi Mumeo hapa, Umetoa mimba ngapi?.maana Kwa age ya miaka 32 umepitia Mahusiano mbalimbali ,sekondari, chuo, mtaani, makazini n.k ,huku kote kwamba haikunasa??.
Haya una miaka 32, unataka wa miaka 35+++.
Hao wanawatu wao, je akija Kijana wa miaka 28-30 ana kazi, mrefu mweusi, ana akili, anahamu ya familia, anahitaji kukuoa?
Asee this girl🙄 kwa hiyo anahitajika mume kwa ajili ya raha tu itakapotokea shida utatoka ndukiUkimaliza shida utampata wa kwako
Sijui ntakua nimechelewa, ila kwa mara ya kwanza nakua na vigezo Kwa 80%Mpaji Mungu kaka wahi
Unaulizwa titi lina kazi Gani?Unahitaji watoto wangapi?
Je upo tayari kuishi nje ya nchi?
Nyash ipo je titi lipo pia?
Titi sii titi fvkc na kunyonyeshwa huku umepakatwaUnaulizwa titi lina kazi Gani?
Nyash ya kupiga Tigo ipo ya kutosha
Hapo kwenye urefu unataka awe na futi ngapWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Yaan unaendelea tu kuuchanachana mkeka mara una kipato hutaki pesa zake mara awe na kipato sasa kipi ni kipi mboni mitego mingi hapa anasakwa dubwe au? Haimaanishi hutotaka pesa zake utaka nini pumzi yake?Haimaanishi sitataka pesa zake...ndo maana nmesema hapo awe na kipato
Naaam naaamNdugu yangu
Na kama kale kapicha ni ka kwako dadeki ................naanza kutrust tena wanawake ............nilipopenda tu kwamba nyash ipo................mostly minapenda mwanamke anayevaa chupi kubwa kubwa