Hello future Hubby

Mkuu asante kwa kukazia, mimi pia nimejaribu kuwaza hayo japo anaona tunamsimanga.
 
1.0 Apart from sex, what else can you offer kwenye maisha ya ndoa?

2. 0 Unahitaji KUOANA? au KUOLEWA?

3.0 Kwenye mahusiano ya kimapenzi, ukijitathmini wewe binafsi, are you an ASSET? or LIABILITY?

3.1 what's your key concern kuhusu ''mume mwenye kipato au biashara''... for bills sharing? or providing maintenance to you?

Nijibu hayo hapa hapa kwanza. Not PM. 😎

-Kaveli-
 
Hatimaye nimefikiwa .... daa hureeeeeeeerreeeeeeeeeeeeeeeeeee yeah fungua pm mama ake....................nipo mume wa halal kabisaaaq
 
Na kama kale kapicha ni ka kwako dadeki ................naanza kutrust tena wanawake ............nilipopenda tu kwamba nyash ipo................mostly minapenda mwanamke anayevaa chupi kubwa kubwa
 
Hapo kwenye urefu unataka awe na futi ngap
 
Haimaanishi sitataka pesa zake...ndo maana nmesema hapo awe na kipato
Yaan unaendelea tu kuuchanachana mkeka mara una kipato hutaki pesa zake mara awe na kipato sasa kipi ni kipi mboni mitego mingi hapa anasakwa dubwe au? Haimaanishi hutotaka pesa zake utaka nini pumzi yake?
 
Oya huwa wanavutia hao
Na kama kale kapicha ni ka kwako dadeki ................naanza kutrust tena wanawake ............nilipopenda tu kwamba nyash ipo................mostly minapenda mwanamke anayevaa chupi kubwa kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…