Hello if members am new here

Mkuu....
Ebu naomba niwe mkweli kwa huu unao uita ugeni wako.....
Kwanza nimeshakua na neno la kusema kwamba..... I'D nyingi zilizo anzia May 2017 zina tatizo.
Pili wewe ni mwenyeji sana humu jf na nivyema ukatumia I'D yako ya zamani.
Ukibisha niambie niendelee......
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Toa makamasi yako..karibisha mgeni vizuri
 
Mkuu unapiga masanga au?
 
Mkuu unapiga masanga au?
Mkuu....
Najaribu kuona ninacho kitazama....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wahenga tunapambana na vinyago tulivyo vichonga kwa viuno vyetu....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naomba nisikuongeze sabuni tafadhali.
.....mbaf..... zako[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Mzee kunya ukalale sitoi kiki kwa makamasi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…