Hello I'm new member

Hello I'm new member

1)kila mtu ni humu ni mkuu,kwanzia sasa wewe ni mkuu lkn pia ili uwe mkuu sheria b) yake lazima useme jinsia yako.

Karbu
Jina tu latosha kujua jinsia
Si nasikia humu mnajiita great thinker
 
IMG-20191211-WA0006.jpg
Hapo vipi mkuu
 
Nimechoka kukaribisha ID mpya za watu wenyeji, ukijiunga endelea kujimwabafai tu humu jukwaani wala hamna atakayekusumbua kuwa mbona hujaleta uzi wa utambulisho.
 
Nimechoka kukaribisha ID mpya za watu wenyeji, ukijiunga endelea kujimwabafai tu humu jukwaani wala hamna atakayekusumbua kuwa mbona hujaleta uzi wa utambulisho.
Mm mpya mkuu
Ila tangu 2015 huwa naingia as a guest, sijawahi kuwa na account ndio kwanza leo
 
Back
Top Bottom