Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ni wa kustukiza visiwani😃Nimekuelewa ila imebidi tu ....maana naumwa hata hamu sina
eeeh 😂 utajua hujuiU mean what?
unaona raha mwenyewe😃😃😃 .tumeona tuache competition na watoto kwenye mayonyo🤣🤣Kuna nn bhana?
kilimo cha vuli🤣🤣🤣🤣 Ukame utakuua aisee
nn iy0?Kwahiyo hapo ulipo imesimama kama mnaracwa babeli inasubiri iangushwe?
sawa🤣🤣🤣 Tulia dawa ikukolee 🤭...ngoja niamke nikaoge mie😐
sio sanaNimekuharibia mambo Usiku wa manane kule🤒
Salama sijui ww loveUmeamkaje mpenz?
Haiya thawaaa😘😘😘Niko poa mom♥️