Habari za humu wapendwa! Tumsifu Yesu Kristu! Bwana asifiwe!
Nimeamua kujiunga rasmi baada ya kuwa mchunguliaji wa muda wa siku kadhaa. Awali niliwahi kuwa member humu, ila kutokana na vurugu za hapa na pale nilipoteza account information zangu. Kwa ridhaa yenu naombeni mnipokee tena.
Mubarikiwe sana!
Nimeamua kujiunga rasmi baada ya kuwa mchunguliaji wa muda wa siku kadhaa. Awali niliwahi kuwa member humu, ila kutokana na vurugu za hapa na pale nilipoteza account information zangu. Kwa ridhaa yenu naombeni mnipokee tena.
Mubarikiwe sana!