hello jf

hello jf

me nimepata changamoto kidogo na watu wenzangu weusi ndo maana natafuta white guys now....nime ku PM
 
natumia app halafu nataka niweke jukwaa la mapenzi
Sawa.... Fuata hatua zifuatazo.
Moja, Ukifungua JF utaona display yake imo hivi
fd8d693dbb16cc624a5b9a11b8e279b2.jpg

Ukiangalia upande wa Kulia kwa chini,kuna sehemu nimechora na uwekundu! Hapo kwenye alama ya Kujumlisha. Bonyeza hapo.

Baada ya hapo,itakuletea kitu kama hichi
03df69ce294cf37afc09f57aa73cee34.jpg

Hapo inakuonyesha kama unataka kutuma kitu gani, we chagua new topic kama ilivyozungushiwa.

Tatu, itakulepeleka sehemu ya Kuanza. Ukibonyeza hiyo sehemu, itakuletea majina ya majukwaa yote. Scroll down mpaka uone jukwaa la MMU
f5ca07e33a629c99df981ba4c23cf7f9.jpg


Ukishachagua jukwaa lako, andika heading kisha baada ya hapo anza kushuka madude yako. Tutakuja kucomment.

Thank me later.
 
sawa tatizo nikishaandika siwezi kuipost sioni option ya send
 
Sawa.... Fuata hatua zifuatazo.
Moja, Ukifungua JF utaona display yake imo hivi
fd8d693dbb16cc624a5b9a11b8e279b2.jpg

Ukiangalia upande wa Kulia kwa chini,kuna sehemu nimechora na uwekundu! Hapo kwenye alama ya Kujumlisha. Bonyeza hapo.

Baada ya hapo,itakuletea kitu kama hichi
03df69ce294cf37afc09f57aa73cee34.jpg

Hapo inakuonyesha kama unataka kutuma kitu gani, we chagua new topic kama ilivyozungushiwa.

Tatu, itakulepeleka sehemu ya Kuanza. Ukibonyeza hiyo sehemu, itakuletea majina ya majukwaa yote. Scroll down mpaka uone jukwaa la MMU
f5ca07e33a629c99df981ba4c23cf7f9.jpg


Ukishachagua jukwaa lako, andika heading kisha baada ya hapo anza kushuka madude yako. Tutakuja kucomment.

Thank me later.
sawa lakini nikishaandika option ya kupost siioni naona preview create new thread na upload sasa nitaituma vipi muione
 
sawa lakini nikishaandika option ya kupost siioni naona preview create new thread na upload sasa nitaituma vipi muione
Ukishamaliza, angalia juu upande wako wa kulia! Kuna sehemu kanaonyesha alama ya ku-send..... Ukibonyeza hapo tayari ushaanzisha thread.

Angalia picha
 

Attachments

  • IMG_20170127_145917_596.JPG
    IMG_20170127_145917_596.JPG
    13.9 KB · Views: 33
unataka kunijuaje labda tuanzie hapo
Lengo lako hasa ni lipi? Muwe kwa kipindi cha mpito tu, au una future hata ya ndoa?
Background Health status, background kama ulishawahi kuwa na matukio before, n.k n.k
 
Lengo lako hasa ni lipi? Muwe kwa kipindi cha mpito tu, au una future hata ya ndoa?
Background Health status, background kama ulishawahi kuwa na matukio before, n.k n.k
OK me nna future sio kwa kipindi cha mpito hayo mengine naomba unipm nitakueleza
 
Back
Top Bottom