- Thread starter
- #21
we ni mzungu wa nchi ganiUnatafuta mume mzungu,kwa lugha yetu! Ok I'm here baby I love you nyang'anyang'a come to pm please...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ni mzungu wa nchi ganiUnatafuta mume mzungu,kwa lugha yetu! Ok I'm here baby I love you nyang'anyang'a come to pm please...
What a special with white?jamani ni kweli natafuta nitampata wapi
NimekupmWhat a special with white?
Sawa.... Fuata hatua zifuatazo.natumia app halafu nataka niweke jukwaa la mapenzi
sawa lakini nikishaandika option ya kupost siioni naona preview create new thread na upload sasa nitaituma vipi muioneSawa.... Fuata hatua zifuatazo.
Moja, Ukifungua JF utaona display yake imo hivi
![]()
Ukiangalia upande wa Kulia kwa chini,kuna sehemu nimechora na uwekundu! Hapo kwenye alama ya Kujumlisha. Bonyeza hapo.
Baada ya hapo,itakuletea kitu kama hichi
![]()
Hapo inakuonyesha kama unataka kutuma kitu gani, we chagua new topic kama ilivyozungushiwa.
Tatu, itakulepeleka sehemu ya Kuanza. Ukibonyeza hiyo sehemu, itakuletea majina ya majukwaa yote. Scroll down mpaka uone jukwaa la MMU
![]()
Ukishachagua jukwaa lako, andika heading kisha baada ya hapo anza kushuka madude yako. Tutakuja kucomment.
Thank me later.
Ukishamaliza, angalia juu upande wako wa kulia! Kuna sehemu kanaonyesha alama ya ku-send..... Ukibonyeza hapo tayari ushaanzisha thread.sawa lakini nikishaandika option ya kupost siioni naona preview create new thread na upload sasa nitaituma vipi muione
Nilitaka kukuonganisha na rafiki yangu ni mjerumani, ila bado sikuaminijamani ni kweli natafuta nitampata wapi
Sijui ni post vipi uzi wa utambulisho RyanSawa, ukikosa huko usinisahau!
daah niunganishe mkuuNilitaka kukuonganisha na rafiki yangu ni mjerumani, ila bado sikuamini
Bado sijakujua kiundani, nahofia ukimzingua uaminifu utakufa kwangudaah niunganishe mkuu
unataka kunijuaje labda tuanzie hapoBado sijakujua kiundani, nahofia ukimzingua uaminifu utakufa kwangu
Lengo lako hasa ni lipi? Muwe kwa kipindi cha mpito tu, au una future hata ya ndoa?unataka kunijuaje labda tuanzie hapo
OK me nna future sio kwa kipindi cha mpito hayo mengine naomba unipm nitakuelezaLengo lako hasa ni lipi? Muwe kwa kipindi cha mpito tu, au una future hata ya ndoa?
Background Health status, background kama ulishawahi kuwa na matukio before, n.k n.k
yani mimi ndo nikupm wewe?? Aisee kuna watu mna raha sanaOK me nna future sio kwa kipindi cha mpito hayo mengine naomba unipm nitakueleza
hahahhahayani mimi ndo nikupm wewe?? Aisee kuna watu mna raha sana