Hello JF

Hello JF

Angalia tu usije mvimbia boss wako ukidhani id fake itakukingia kifua
 
yule hanaga dogo nitajitahid niongelee wanaume wanaozinguana huko kina trump na putin
Bas karibu cheza kote lakini kule inteligence na great thinker ukitaka post kitu labda swali ndo liandae siku moja ila hoja na mada ipitie wiki nzima au hata mwezi ndo uipost mkuu wangu.
 
Bas karibu cheza kote lakini kule inteligence na great thinker ukitaka post kitu labda swali ndo liandae siku moja ila hoja na mada ipitie wiki nzima au hata mwezi ndo uipost mkuu wangu.
asante kaka kule sio kwa mchezo naona watu hawapost ovyo mkuu
 
asante kaka kule sio kwa mchezo naona watu hawapost ovyo mkuu
Kule si pakwenda kama unapost Fb Kule kugumu aisee mpaka ukomae ubongo wako. Ukipost madudu kule za uso zinakuhusu
 
Back
Top Bottom