Hahahaa! Akili ku mkichwaUmeona rais anavyotaka nipotee mapema
Cc faiza foxyKaribu mkuu, ila uwe makini sana kwenye uandishi wako kuna bibi kifimbo cheza humu.
Ngoj akubambe siku moja utaelewa tunawew unapata kausumbufu kamuandiko?
Bas karibu cheza kote lakini kule inteligence na great thinker ukitaka post kitu labda swali ndo liandae siku moja ila hoja na mada ipitie wiki nzima au hata mwezi ndo uipost mkuu wangu.yule hanaga dogo nitajitahid niongelee wanaume wanaozinguana huko kina trump na putin
asante kaka kule sio kwa mchezo naona watu hawapost ovyo mkuuBas karibu cheza kote lakini kule inteligence na great thinker ukitaka post kitu labda swali ndo liandae siku moja ila hoja na mada ipitie wiki nzima au hata mwezi ndo uipost mkuu wangu.
Kule si pakwenda kama unapost Fb Kule kugumu aisee mpaka ukomae ubongo wako. Ukipost madudu kule za uso zinakuhusuasante kaka kule sio kwa mchezo naona watu hawapost ovyo mkuu