Haniyah ni jina lako halisi?Habari wana JF
Naomba mnikaribishe ,ni mgeni hapa
Hawa
Mkuu, watu bado hawaja zinduka tangu walipo dondoka kwa presha, naona nawewe umeamua kuwaongezea presha tena......teh[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe una ugeni gani akati umekuja na ID mpya [emoji23][emoji23]
Alafu kesho kutwa uje utuambie umeathirika
Ha haaaa yaaani kisura.Habari wana JF
Naomba mnikaribishe ,ni mgeni hapa