Hello mimi mgeni naomba mnipokee

Hello mimi mgeni naomba mnipokee

Ooh, karibu sana mwenyeji.

Nani kakufundisha kupost thread?
Nani kakufundisha kuweka picha?
 
Kama haujaweka namba ya simu na picha yako wewe ni mwenyeji kama wenyeji wengine Tu

Na kama unabisha wewe siyo mwenyeji weka picha [emoji1549]‍♂️[emoji1549]‍♂️[emoji1549]‍♂️[emoji1549]‍♂️
 
Karibu sana mrembo..
Mimi ndo kigogo huko twiter na wewe ndo nani huko@aretasludovick,
 
Karibu sana jisikie uko nyumbani.
Kila sentensi yako usisahu kumalizia na neno mkuu.
Karibu sana mkuu
 
Back
Top Bottom