mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Wana JF, Heshima kwenu
Wakubwa Shikamoni, Wadogo habarini za Saa unaponisoma, WOTE KIMYA HILO NALO NENO.
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikifuatilia kama mgeni kuwaangalia waliosajiliwa jinsi mnawaga nondo, vioja, nk. Nikaona vema nami niingie uwanjani baada ya kuwaelewa wana JF Registered ili nami niweze kutoa hoja katika kujadili kila kinachotufikia ili kujifunza, kuhabarisha, kufurahisha na zaidi sana kusimamia haki, demokrasia na UKWELI
AHSANTENI MAKOFI TAFADHALI
WAMEPIGA
Wakubwa Shikamoni, Wadogo habarini za Saa unaponisoma, WOTE KIMYA HILO NALO NENO.
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikifuatilia kama mgeni kuwaangalia waliosajiliwa jinsi mnawaga nondo, vioja, nk. Nikaona vema nami niingie uwanjani baada ya kuwaelewa wana JF Registered ili nami niweze kutoa hoja katika kujadili kila kinachotufikia ili kujifunza, kuhabarisha, kufurahisha na zaidi sana kusimamia haki, demokrasia na UKWELI
AHSANTENI MAKOFI TAFADHALI
WAMEPIGA