Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Daudi kumuangusha Goliath au sio ??. Sawa but sure hamna Taifa litakaloweza kuingusha US unless ijiangushe yenyewe from within !!.kama ni hivo sawa, ila kumbuka hizo ni theory tu!!
nani angetabiri daud kumuangusha goliath?
sina uhakika wa hili lakin naamin wataanguka