- Thread starter
- #21
nimekuambia ulog in unajitambulisha km mimi mgeni tenaMimi naitwa: Wolfeschlegelsteinhausenbergerdorff
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekuambia ulog in unajitambulisha km mimi mgeni tenaMimi naitwa: Wolfeschlegelsteinhausenbergerdorff
freshi linaKoromije hawajambo?
Nilog in mara mbili mkuu??.......mimi nilifikiri kuwa unahitaji kujua jina langu labda!!nimekuambia ulog in unajitambulisha km mimi mgeni tena
umesema una miaka saba jf wakati umejiunga ht mwaka haujaisha. ulifikiri? we nikaribishe wacha maneno mingi mkuuNilog in mara mbili mkuu??.......mimi nilifikiri kuwa unahitaji kujua jina langu labda!!
Nikukaribishe wakati hujaweka picha????umesema una miaka saba jf wakati umejiunga ht mwaka haujaisha. ulifikiri? we nikaribishe wacha maneno mingi mkuu
umekomaana picha ya kwako ndo hiyo hapo?Nikukaribishe wakati hujaweka picha????
Basi karibu. Tutakupa salamu uwapelekee koromijefreshi lina
Mimi siwezi kuweka picha yangu kwa sababu mimi siyo mgeni tena, watu walinijua siku ile nilipokuwa mgeni na nikaweka picha zangu tatu!!umekomaana picha ya kwako ndo hiyo hapo?
halafu ukaziondoa kwa niniMimi siwezi kuweka picha yangu kwa sababu mimi siyo mgeni tena, watu walinijua siku ile nilipokuwa mgeni na nikaweka picha zangu tatu!!
Naipenda hiyo hapo kwenye profile/avatar yangu kwa sababu mchumba wangu alinichora akanitoa kama nilivyo kabisa kwa hiyo nikaipenda sana!halafu ukaziondoa kwa nini
okNaipenda hiyo hapo kwenye profile/avatar yangu kwa sababu mchumba wangu alinichora akanitoa kama nilivyo kabisa kwa hiyo nikaipenda sana!
Ok nini??? Picha ziko wapi???
Nimecheka sanaaaaKiemu ndio jinsia gani?
We jibu swali alafu ujue Mimi ni Mod humu ohoo!! Utashangaa unachezea ban sasa hivi!!
Teh teh teh jamaa mbishi wewe. hapa ni kukaribishwa tu sipati picha kule jukwaa la siasaOk nini??? Picha ziko wapi???
🙂 🙂 🙂Teh teh teh jamaa mbishi wewe. hapa ni kukaribishwa tu sipati picha kule jukwaa la siasa
Ahsante mkuuKaribu sana JF..........
Welcome to the stress free zoneMimi mgeni naomba mnikaribishe wakuu.