Hello.....

Hello.....

Brother 1

Member
Joined
Jul 11, 2018
Posts
21
Reaction score
4
Natumai wote tu wazima. Naitaji rafiki naomba nieleweke wazi rafiki jinsia ya kike umri kuanzia miaka 40 and above ambaye yupo stressed kwa ajili ya kubadilisha mawazo, ushauri, miongozo n.k...
NB: tafadhali naombeni tuheahimu mawazo ya mtu. Kama huna cha kucoment ni bora ukapita kimya kuliko kutoa lugha zisizo na staa. Asanteni.
 
Kila la heri Mkuu, na Imani utapata tu mie nimezidi kama miaka 10 ningekuwa tu
 
Hapo Mtaani Kwako / Kwenu Hakuna Watu Wa Aina Hiyo? :lol
 
Natumai wote tu wazima. Naitaji rafiki naomba nieleweke wazi rafiki jinsia ya kike umri kuanzia miaka 40 and above ambaye yupo stressed kwa ajili ya kubadilisha mawazo, ushauri, miongozo n.k...
NB: tafadhali naombeni tuheahimu mawazo ya mtu. Kama huna cha kucoment ni bora ukapita kimya kuliko kutoa lugha zisizo na staa. Asanteni.
So sorry nilisahau for more plz let's go PM... Asanteni sana....
 
Back
Top Bottom