hello!

hello!

Tupe mrejesho wa uliyoyakuta uko ulikokuwa
mmmh¡mkuu unajua ktk mchakato wa kimaisha kuna negative factor na postive factor ili kufanikiwa ni lazma utapiwa ktk changamoto za negative ambazo walio wengi zinapotokea hzo weng wetu tunaishia hapo.Mara nying tumekuwa tunakata tamaa pindi tukutanapo na changamoto hzo.
 
Back
Top Bottom