Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema Ke ....hata angekua shoga BADO UNALAZIMIKA KUMSAIDIA ....lazima uwe sehem ya badiliko unalolihitaji
Kasema Ke
Usitumie kauli ya gadhabu km hiyo
Kua Serious ,mtoa Mada anahitaji msaada ...Hebu weka picha tuone damage...ili tujuwe tunakusaidia vipi......
Ni mwanamke mwenzako
Lazima ujifunze kua naye huruma !!
Nahitaji msaada kweli kama upo coz cna mda mrefu kwenye hilo jamboKasema Ke ....hata angekua shoga BADO UNALAZIMIKA KUMSAIDIA ....lazima uwe sehem ya badiliko unalolihitajiKasema KeUsitumie kauli ya gadhabu km hiyoKua Serious ,mtoa Mada anahitaji msaada ...Ni mwanamke mwenzakoLazima ujifunze kua naye huruma !!
Wanawake wengi mmekua wahanga wahizi mambo, mnalazimishwa na wanaume wenu. Nanyi kwakuogopwa kuachwa kisa unajiona sio mzuri mnajikuta mnajiachia .
Sasa kosa nikosa likishafanyika.
Jaribu kua JAMII SAHIHI YENYE UPENDO AMBAYO MTATOA MSAADA NA NGUVU KWA HUYU MWANAMKE ILI AJIONE KUA BADO NI MWANAMKE
Usijali msaada upo na utarudi.katika hali yako ya awali ila nisharit uwe umeamua kwelikweli ...nakwakua una muda.mfupi tu basi pia haitokuchukua muda kurudi ktk hali yako.Nahitaji msaada kweli kama upo coz cna mda mrefu kwenye hilo jambo
Kuuliza sio ujinga mkuu ,hapo mnaposema atarudi katika hali yake ni mnaongelea hali ipiUsijali msaada upo na utarudi.katika hali yako ya awali ila nisharit uwe umeamua kwelikweli ...nakwakua una muda.mfupi tu basi pia haitokuchukua muda kurudi ktk hali yako.
Kama umeachana nae kweli uje kwangu MamaKweli nimeamua kuacha kwa kuachana na huyo mtu
Mkuu kurudi ktk hali yake alokua nayo kabla hajaanza kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile.Kuuliza sio ujinga mkuu ,hapo mnaposema atarudi katika hali yake ni mnaongelea hali ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kua na AmaniAhsante
Ikitokea kaomba tena mrudiane?? Kwanza kabisa ,Nakuitaji kuanzia sasa uyachukie mapenzi ya kinyume na maumbile yaan uyachukie chukie as if umenywesha shubiri,, na ktk mada yoyote inayohusu mapenzi kinyume na maumbile hakikisha unakua ktk upande wa Kuchukia.Kweli nimeamua kuacha kwa kuachana na huyo mtu