Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hey Hey Hey new member karibu sanaHey hey hey n mm new member
Karibu sana ndugu yangu , ni bahati njema sana kwako na kwetu pia kuwa miongoni mwa watumiaji wa jukwaa hili, nina hakika hautajutia kujiunga hapa.Hey hey hey n mm new member
PpKaribu sana, Kama hutumigi pombe na wanawake kiasi tunaweza kuwa marafiki
Toa pombe bwana, kama sio pombe maisha yasinge kuwa maisha.Karibu sana, Kama hutumigi pombe na wanawake kiasi tunaweza kuwa marafiki
Wanakosea sana, pombe imeundwa kwa viwango sahihi na rafiki kwa matumizi ya kuburudisha.Na ambao hawatumii pombe wanatumia high level drugs wasemeje
Numbisa mbona unataka kunielezea kama mimi ni mkatili?New member karibu sana. Ila jiangalie vizuri soon utaanguka na ban maana umekaribishwa na mod🤣🤣🤣
OkNew member karibu sana. Ila jiangalie vizuri soon utaanguka na ban maana umekaribishwa na mod🤣🤣🤣
Ulifululiza ban, kwani wewe ni mtukutu?Tatizo mkitoaga ban huwa hamuweki jina la mod husika. Kuna kipindi nilifululiza ban nikawa na bifu la moyoni na mods wooteee. Hamia Yanga nianze kukusidia kwa roho nzuri
Welcome to Jamii forums where we dare to talk openly.Hey hey hey n mm new member
Pombe sio nzuri kiafyaWanakosea sana, pombe imeundwa kwa viwango sahihi na rafiki kwa matumizi ya kuburudisha.
Haya majibu yako unaonekana wewe mjeuri mjeuri eeh. Nimeandika baada ya kuivuta miwani wangu kwa kidole chini kidogo ya pua.
normal 2;mgeni umekuja leo leo ushajua kureply watu si useme jina lako la zamani tu kuliko kutusumbua?
Una kibariHey hey hey n mm new member