Hello

Hello

Tatizo mkitoaga ban huwa hamuweki jina la mod husika. Kuna kipindi nilifululiza ban nikawa na bifu la moyoni na mods wooteee. Hamia Yanga nianze kukusidia kwa roho nzuri
Ulifululiza ban, kwani wewe ni mtukutu?
Pole sana
Turudi kwenye mada kukaribisha wageni
 
Back
Top Bottom