Ndugu zangu wana jf.Cku zote mgen mstaarabu.ni yule abishae hod anapo fika kwenye mji.Pia mwenyeji mstaarabu ni yule anae mkarim mgen..sasa na mm nasema hod kwa wana jamvi wote..
karibu ila umepigia hodi chumbani (jukwaa la siasa), hodi inapigwa nje (jukwaa la utambulisho) halafu unakaribishwa sebuleni (chit chat) ndo uingie chumbani kulala ung'atwe na mbu na kunguni humo, (mbu na kunguni ni vijana wa Lumumba na waliberali),
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.