Helloo!

BabyGal

Senior Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
165
Reaction score
62
Habari yenu wote wahusika wa hapa?

Nawasalimu katika jina la bwana!Naomba mnikaribishe tafadhali.
 
Karibu sana na jisikie huru,uko huru kuchangia,kutoa mada kwa namna unavyoona but soma jamiiforums rules kwanza usije ukaenda nje ya utaratibu,apart from that karibu sana!!
 
Karibu sana na jisikie huru,uko huru kuchangia,kutoa mada kwa namna unavyoona but soma jamiiforums rules kwanza usije ukaenda nje ya utaratibu,apart from that karibu sana!!
Asante kwa mwongozo rafiki!
 
1. bwana yupi huyu unayetusalimu kwa jina lake!??

2. Asante kwa kupigia hodi chumbani, karibu lakini!!!
 
1. bwana yupi huyu unayetusalimu kwa jina lake!??2. Asante kwa kupigia hodi chumbani, karibu lakini!!!
Bwana YESU mwenyewe.Asante kwa kunikaribisha japo kwa madongo!
 
Welcome pal! Please, scroll down to familiarize youself with JF rules.
 
Duh...hiyo Avatar lakini inakusalitiOk,karibu sana jisikie nyumbani.
Watu wengine mnashangaza kweli!Mapema yote hii ushaanza majungu?!HAYA ASANTE!!Asanteni wote!
 
karibu babygal.
2nategemea mchango chanya zaidi toka kwako.
 
Habari yenu wote wahusika wa hapa?

Nawasalimu katika jina la bwana!Naomba mnikaribishe tafadhali.


karibu binti, pita tu mlango wa chumbani upo wazi,
pita hivyo hivyo ulivyo baby wangu...............................
 
Bwana YESU mwenyewe.Asante kwa kunikaribisha japo kwa madongo!

AMEN...AMEN...AAAAMEN! YESU ATUKUZWEEEE...

Haha..si unajua, on a light touch....karibu mamii!!!
 
Thank you guys!Ntafuata nyayo zenu mlionitangulia!!
 
AMEN...AMEN...AAAAMEN! YESU ATUKUZWEEEE...Haha..si unajua, on a light touch....karibu mamii!!!
Ningeweza kuondoka ujue!Maana karibu nyingine hata hazikaribishi!!
 
afadhari umefunika hivo vidude na mikono

Karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…