Uzuri mimi situmii kilevi chochote,hapo sijui mtu ananipataje.Yeruwiii....kawaida tu maana hilo promo lake afu ukute jamaa
ndio mwenyekiti wa kamati ya vinywaji...
si ndo utatoka ukumbini unatambaaa....
Ila uzuri wa @nifah anatumia bavaria 0.0 tu.. wale wa gambe sasa hahaYeruwiii....kawaida tu maana hilo promo lake afu ukute jamaa
ndio mwenyekiti wa kamati ya vinywaji...
si ndo utatoka ukumbini unatambaaa....
Uzuri mimi situmii kilevi chochote,hapo sijui mtu ananipataje.
Duuu...kama ndo hivyo kuna uwezekano akapiga hata 'dragoni " mbili tatu hivi za kuzimua mwili tu.Ila uzuri wa @nifah anatumia bavaria 0.0 tu.. wale wa gambe sasa haha
Yeruwiiii....kiruuuu
kiruuuu
Ila uzuri wa @nifah anatumia bavaria 0.0 tu.. wale wa gambe sasa haha
Njoo nipo
Acha hizo wewe,mimi ninazo ndani zinazoexpire mwakani tena November huko.Hii nini tena Miss Chaga?
BACK TANGANYIKA
Mkuu Bavaria za sasa zisha-expire kitambo sana
Sema kwa Nifah kwakuwa koo lake jepesi tutampa Savana tu maana ile kitu ni laini kama ngozi ya nifah mwenyewe!!
BACK TANGANYIKA
nimeshtuka dalili za mtu kuliwaHii nini tena Miss Chaga?
BACK TANGANYIKA
Mkuu Bavaria za sasa zisha-expire kitambo sana
Sema kwa Nifah kwakuwa koo lake jepesi tutampa Savana tu maana ile kitu ni laini kama ngozi ya nifah mwenyewe!!
BACK TANGANYIKA
Kuliwa "mtandao pendwa" au kuliwa nini...?nimeshtuka dalili za mtu kuliwa
mitandao yoteKuliwa "mtandao pendwa" au kuliwa nini...?
Mpango mzimaNitumie 150k ya mavazi,50k ya usafiri nije,hakuna company ya bure mjini hapa.
Duu...itabidi "kifurushi" kiongezewe uwezo ili kuhimili "milango yote ya mitandao"mitandao yote
kwahiyo ni kama mlevi aliyefikisha bia ya sita unakuta kimyaaa anaanza kuwa mpole ana mazungumzo yanakuwa ya kuvizia vizia tu.Washam-pm naona kawa kimya tayari...!
mmmm chezea pesa wewe kakimbia mwenyewe.Washam-pm naona kawa kimya tayari...!
HahahahahaaaWasham-pm naona kawa kimya tayari...!