Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana🙌Asante sana, ni furaha kupata ukaribisho wako...mara nyingi nimekuwa nasoma post zako kama mgeni
Kabisa kabisa.Asante sana ndugu... naamini jukwaa lenye GT ni chachu ya kujijenga kifikra na kimtazamo
Mkuu unaendeleajeeeOk,. Karibu
Asante sana.Kama yapo ya kujuzwa ili kulifurahia jukwaa, na sheria mbalimbali vyema sana kama upo umuhimu tujuzane, heko sana kwa waanzilishi wa Jamii Forums.
Wee muongoHabari timu ya wana jamii forums? Nafuraha kujumuika pamoja katika jukwaa hili huru.
Never follow ordersMuongo katika nn? GT
Mungu mwema nimepona🙏🙏Mkuu unaendeleajeee