kitororondo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 597
- 704
shukrani mkuu ngoja niendelee kuangalia mitaaKaribu sana mkuu, kama lipo unalotaka kujua uliza hapa wajumvi wakufahaamishe.
Asante mkuu nishakaribiakaribu
Siku 3 tu jukwaani tayari ushakuwa jf expart member! 250+posts! huwa unalala humuu!?shukrani mkuu ngoja niendelee kuangalia mitaa
vipi na wewe huyu ni mwanao pichani?π³π³π³Iyo ndio picha yako?
hahahahahahaa sema nimeanza kuperuz humu tangu 2011 ila sikuwa nimefungua acount ndio maana nilipofungua ilikuwa nikutiririka tu so sio mgeni kihivyoSiku 3 tu jukwaani tayari ushakuwa jf expart member! 250+posts! huwa unalala humuu!?
mimi au?Iyo ndio picha yako?
Ndio mimi kipindi nipo mdogovipi na wewe huyu ni mwanao pichani?π³π³π³
Ndiomimi au?