hellow jf

hellow jf

ndoma

New Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
3
Reaction score
0
mimi nimebahatika kupata Tsh millioni 5 na nimeplan kufanya biashara ya uwakala wa kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mitandao ya simu tigo pesa,m.pesa, na airtel money,je ni changamoto zipi ambazo nitaweza kukutana nazo na njia zipi nitumie ili kuzikabili changamoto hizo?
 
Back
Top Bottom