Hellow, nikaribisheni

Hellow, nikaribisheni

una bahati majukwaa yote yapo naimani umeyaona, nikutahadharishe kuhusu jukwaa la siasa huko ban ni muda wowote, ngoja nikufollow
 
I'm a new member, nipeni taratibu za hapa inakuwaje? member wakoje hapa?
Wakati ukiwa unachangia, Kumbuka kuwa kuna Cybercrime Act ambayo sio tu kwamba itakupa ban lakini pia inaweza kukupeleka jela. Watch out.
 
Karibu sana.

Mimi ndiye mmiliki wa Forum hii, ukitaka maelezo zaidi na namna ya kusaidiwa usipigwe BAN nitafute PM....

Utaishi kwa raha sana
 
Karibu sana.

Mimi ndiye mmiliki wa Forum hii, ukitaka maelezo zaidi na namna ya kusaidiwa usipigwe BAN nitafute PM....

Utaishi kwa raha sana
unajipendekeza.

swissme
 
Back
Top Bottom