selina mrembo
Member
- May 18, 2020
- 54
- 68
Ni pmMKUU BILA KAPICHA KAKO NI KAMA KUTULISHA MATANGO PORI BILA CHUMVI
Vipi iyo clinic clear mi staki kujichubua lakiniUtang'aa mwili mzima uwe na rangi ya chocolate
Weka sura hapa tuone kwanza umefikia kiasi gani chakujichubuaMimi ni mzuri wa sura tu jamani japo sio sana nataka niiweke sawa zaidi means ing ae mimi ni maji ya kunde sio mweupe sio mweusi lotion gani nitumie nipendeze zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha! Hii wengi wanaitumia na maji yake inang'arisha kwelikweli kama hupendi kung'aa sana achana nayo.
Mi staki kujichubua nataka kung'alisha ngozi tu yaani.Hahaha! Hii wengi wanaitumia na maji yake inang'arisha kwelikweli kama hupendi kung'aa sana achana nayo.
Kuna fake ukitumia hata hubadiliki
E! Kumbe inachubuaUbaya wa clinic clear tena ni ukatili inaweza kukuchubua tu sura alafu mwili ikakugomea.
Ukitaka ikutendee mema uwe unaipaka usiku tu! Na jua lisiwe rafiki yako baada ya kupata rangi unayoitaka achana nayo unakuwa soft na mzuuuuuri sanaaaa alafu usitumie sabuni za kemikali maana zitafanya kutibu ngozi hivyo utaharibika
Cocopulp itakufaa
Kwa speed ya Boeing 737 kama utachanganya na maji yake